Maneno ya mwisho ya Steve Jobs, bilionea ambaye alikufa akiwa na umri wa miaka 56 kuhusu maisha

Kwanza uniombe msamaha mimi sio Mkenya ni Mtanzania.Halafu naomba uniambie matatizo yangu.
una English nzuri sana ya kiKenya
huoni ni sifa hiyo ?

matatizo ni kwamba, Steve Jobs alikua na Pesa
asingekuwa nazo pengine angeshindwa ku maintain hygiene na kufa kwa kipindu pindu akiwa na miaka 20

em tupunguzage ujinga
 
Waambie mafisadi wa DPW! Mtu anadhubutu kuuza nchi isiyo yake pekee kwa maslahi yake pekee? Hili nalo mkalitizame!
 
Imenitafakarisha, kufurahi na wapendwa, familia yako ni kila kitu.
Correct!! Just leave legacy not wealthy. Jf kennedy aliuwawa miaka zaidi ta 60 iliyopita ila hadi leo siku ya kifo chache inaombolezwa na kuna watu hulia ilhali hawakupata hata kumuona kwa macho yao.
 
una English nzuri sana ya kiKenya
huoni ni sifa hiyo ?

matatizo ni kwamba, Steve Jobs alikua na Pesa
asingekuwa nazo pengine angeshindwa ku maintain hygiene na kufa kwa kipindu pindu akiwa na miaka 20

em tupunguzage ujinga
Tupo Watanzania tunaojua Kingereza mkuu,usitudharau.Naomba nikumbushe kwamba Kingereza ni Kama lugha zingine tu.
 
Waambie mafisadi wa DPW! Mtu anadhubutu kuuza nchi isiyo yake pekee kwa maslahi yake pekee? Hili nalo mkalitizame!
We are praying for the country and our leaders on a daily basis,we believe God will do something.Ila kwa nini wewe unajitoa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…