Maneno ya Profesa Issa Shivji juu ya Katiba Mpya

Kuna wakati najiuliza kama kweli unajua na hata kuelewa kile unachoandika/unachoongea au ni mbwembwe zako tu. Ni elimu gani hasa unataka wananchi wapewe kuhusu Katiba mpya? Mbona unawatukana Watanzania/Watanganyika?
Mimi nadhani kwanza wananchi wote wafundishwe Kiingereza wakielewe vizuri ndio tuanze mchakato wa Katiba mpya πŸ™„πŸ™„ πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Ila tukumbuke pamoja na elimu ya ngumbaru iliyokuwepo lakini mpaka leo wapo wananchi wengi tu hawajui kusoma na kuandika !!
Maoni ya Profesa Shivji yazingatiwe. !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…