Maneno ya Rais wa Tunisia ni dharau kwa Waafrika

Maneno ya Rais wa Tunisia ni dharau kwa Waafrika

Nelson Jacob Kagame

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2022
Posts
9,576
Reaction score
13,545
Kwa wale wanaopenda kujinasibisha na watu wa Afrika ya Kasikazini na kuwaita Waafrika wenzao nadhani mmesikia alichosema Raisi wa Tunisia kuhusu Waafrika wabantu.

Waafrika popote walipo ni wahanga wa ubaguzi iwe Afrika, Ulaya, Asia au Amerika. Yote kwa sababu tumeacha asili zetu, dini zetu, majina yetu, imani zetu na tamaduni zetu na kukumbatia vya wageni na kuita vya mababu zetu ushenzi.

Waafrika Wabantu hatujitambui na nafasi yetu katika hii Dunia

=====

Tunisia’s president, Kais Saied, has told a meeting of security officials that migrants are part of a wider campaign to change the demographic makeup of the country and make it “purely African”.
 
Wale si waafrika, mipaka ya mabara imewaingiza ili ramani ya afrika iwe imetengenishwa na maji na mabara mengine. Ndio maana huwa hakuna hamasa sana timu zao zinapofika hatua za juu kwenye michuano ya kidunia tofauti na nchi za weusi. Tunisia ni nchi ya ulaya yenye unasaba na uarabu iliyopo afrika. Morocco, algeria, misri na tunisia zina nyodn sana kwa waafrika wenzao na ndiyo maana wapo kwenye umoja wa nchi za kiarabu duniani
 
Ni hapo inaposhangaza muafrika anakumbatia mila na desturi za hao wabaguzi. Hawa ni kuwaachia hata lile dini lao la balaa walilolieneza afrika. Dini likawa la chuki baina ya wafrika na waafrika. Waafrika ndio kwanza wanajinasibu na wao wana unasaba na watu hao wanaowabagua. Liwalo na liwe atokee kiongozi jasiri wa kiafrika aseme hataki mila, desturi na tamaduni za watu hao wabaki nazo hukohuko kwao
 
Wale si waafrika, mipaka ya mabara imewaingiza ili ramani ya afrika iwe imetengenishwa na maji na mabara mengine. Ndio maana huwa hakuna hamasa sana timu zao zinapofika hatua za juu kwenye michuano ya kidunia tofauti na nchi za weusi. Tunisia ni nchi ya ulaya yenye unasaba na uarabu iliyopo afrika. Morocco, algeria, misri na tunisia zina nyodn sana kwa waafrika wenzao na ndiyo maana wapo kwenye umoja wa nchi za kiarabu duniani
Comoro pia ipo umoja wa kiarabu, na ipo hapo jirani na mkoa wa Lindi na Mtwara.

Sudan (kabla ya kugawiwa sehemu mbili walikua) wamepakana na Kenya na pia wapo umoja wa nchi za Kiarabu.
 
Unaishia kufoka tu na hata hujui Africa ina race zipi,unachojua wewe kila mtu mweusi aliye Africa ni mbatu,poor!! Watu weusi wapo wengi tofauti na wabantu unaowatangaza wewe ambao ni nilotes,cushites,khoi(bushmen)(clicking sound)

Acha kukalili kijana!!
Hapo umezunguka tu.Ukweli ni kwamba Arabs ni wabaguzi sana kwa watu weusi/waafrika weusi.Ni hilo tu hakuna kupindisha au kutaja utaifa fulani na lugha zao.
 
Unaishia kufoka tu na hata hujui Africa ina race zipi,unachojua wewe kila mtu mweusi aliye Africa ni mbatu,poor!! Watu weusi wapo wengi tofauti na wabantu unaowatangaza wewe ambao ni nilotes,cushites,khoi(bushmen)(clicking sound)

Acha kukalili kijana!!
Mkuu kweli msomi kama mimi wa kufoka au nawakilisha mada tuijadili????Au na wewe upo brain washed na watu wa nasaba flani kuukataa ubantu wako kwa kutengeneza matabaka ya watu weusi kupitia elimu ya wakoloni?????Kasikilize alichosema waziri wa mambo ya nje wa tunisia.
 
Comoro pia ipo umoja wa kiarabu, na ipo hapo jirani na mkoa wa Lindi na Mtwara.

Sudan (kabla ya kugawiwa sehemu mbili walikua) wamepakana na Kenya na pia wapo umoja wa nchi za Kiarabu.
jamii za wacomoro wengi ni machotara na waarabu.Na jamii ya wasudani wengi ni wanubi amabao wamechanganyika na waarabu na wahabeshi ambao wamechanganyika na waarabu.Na hata wabantu waliopo hasa kule north darfur idadi yao ni ndogo kuliko waarabu na machotara.So ni sawa kwa comoro na north sudan kujiunga na umoja wa nchi za kiarabu.
 
Back
Top Bottom