Salute..
View attachment 500282
Katika hali ya kawaida,tumezoea kila wiki,mwezi na hata mwaka kuna maneno yanayoongelewa zaidi kwenye jamii,mitandaoni na sehemu zingine kuliko kawaida.
Katikaa pita pita kwenye mitandao,na jamii nyingi kwa upande wa dar maneno haya chini yametajatwa zaidi tangu mwishoni mwa mwaka jana hadi leo
1.uhakiki
2.dikiteta uchwara
3.kuisoma namba.
4.Magu*
5.Elimu bure.
6.Njaa.
7.Ben saanane
8.Bashite.
9.
10.Kuteka.
Niombe taja mkoa/wilaya na neno la 9 lilitajwa sana hapo ulipo.