(1)Rais Mkapa Kuwaita Watu Malofa
(2)Rais Kikwete Kusema wanafunzi wanaopata mimba wana kiherehere
(3)Rais Magufuli kusema kuwa wanafunzi wenye Div Four ni Vilaza
(4)Dkt Willbroad Slaa kumwita Kafulila SISIMIZI
(5)Nyerere kumwita Samweli Malechela Mhuni
(6)Nyerere Kusema Kikwete ni mtoto
(7)Masaburi kusema watu wanafikiria kwa kutumia Makalio
(8)Fredrick Werema kusema Kafulila ni Tumbili
.(9)
(10)
Yapo mengi unaweza kuendele kuongezea ili Wahusika wakumbuke
Kwa sehemu kubwa wasemaji wengi wametoka Chama Kimoja
Ukitaka, sharti uliwe kidogo - JK
Naunga Mkonyo Hoja - Babu yetu Mkulima na Mfugaji wa Nyuki
Mfupa huna Ulimi - Bibi yetu Anne Makinda ( Mungu ampe maisha marefu)