Maneno YaMjini hayo..............................

Hahahaaaaaaaaaaa,mkuu huo ni ukweli kwa kiasi fulani,watu wa dar wengi wanaishi kiujanja ujanja sana,hawana shughuli maalum,hawaoni hatari kuwaingiza mjini hata ndugu zao wa karibu wasio wa dar
 
mjini ni watu na matukio sio Maghorofa ,Dar watu wa matukio ndio maana kunaitwa mjini....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…