Sio embu wala ebu, ni hebuKwa uelewa wangu japo sio mtaalam wa lugha ila naweza kusema sahihi ni,,MPAKA na sio MBAKA,
EBU na sio EMBU
Wewe ni mtanzania? Au umejifunza kiswahili ukubwani??Wadau lipi neno sahihi kati ya..
1. "Mbaka" au "Mpaka"
Mfano mtu aseme.....
"Mbaka sasa hakuna mshindi katika Pambano hili"
au
"Mpaka sasa hakuna mshindi katika pambano hili"
Yupi yuko sahihi hapo?
2. "Embu" vs "Ebu"
Mfano:
"Embu! Sogea nipite nikuoneshe"
Au
"Ebu! Sogea nipite nikuoneshe"
Kipi ni sahihi na kipi sioo Sahihi
Karibuni tujadilianeeee