Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Nimekumbuka tu baadhi ya maneno ya mwisho kwa Wapendwa wetu, mengine nimeyapata mtandaoni!
1. Mama kwanini umeniacha?
2. Nitawaambiaje Watoto watakapouliza Mama yuko wapi?
3. Ulisema nije tuongee, mbona umeondoka?
4. Amka nikuage mara mwisho.
5. Baba, ungeniambia mapema kuwa unaondoka!
6. Si ungesubiri Ndoa yangu ifanyike kwanza?
7. Baba nani atanilipia ada Tena?
Let us live since we Must Die (Memento Mori)
1. Mama kwanini umeniacha?
2. Nitawaambiaje Watoto watakapouliza Mama yuko wapi?
3. Ulisema nije tuongee, mbona umeondoka?
4. Amka nikuage mara mwisho.
5. Baba, ungeniambia mapema kuwa unaondoka!
6. Si ungesubiri Ndoa yangu ifanyike kwanza?
7. Baba nani atanilipia ada Tena?
Let us live since we Must Die (Memento Mori)