Maneno yapi nitumie kuomba gemu(kipochi manyoya)

Mijimama wala haupotezi muda, unamwambia tu madam una mvuto nataka kukut........! Atazuga ila yeye kwa kusikia hivi ataandaa mazingira yeye.
 
😀😀
 
Tengeneza bucha tu mkuu uwe the butcher km AY utakula sana vinono mkuu
Siku hizi ngombe wanakuja wenyew tu tna wengine wauza nyama laini popote kijana
Komaaaa njombhaa
 
haaaaaaaaa hukuballiani? km ungekua ww ungenipa😀😀😀


Haha... Yeahhh.. I do like crazy man.. not crazy in real meaning.. Kuna dizain fulani ameizinnnnnnggggggghh hivi ya ukichaa ukiwa na mtu mpaka utafurahi.... kuanzia maneno hadi vitendo
. so ingetegemea venye tunaishije. kisela sela... siriaz sana.. kimcharuko sana.. n.k




cc Smart911
 
😀😀😀😀basi simpendi demu anaekuwa mgumu kutafsiri mazingira unakuta usiku nimelala na boxer nikazima taa mapema ety ndio kwanza anavaa matracksuit
 

Kaone kwanza kalivya kazuri...
 
Utakua hujakose kulingana na huyo mwanamke mnachukuliana vipi...

Muda mwingine hata siyo lazima uombe kumfanya mwanamke wako matusi... vile mwanaume utakavyokua unaweza kucheza na akili ya mwanamke wako, utajikuta mara zote anakutaka umfanye matusi...


Cc: mahondaw
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

uhuhuhuhuuu. kesho weekend inaanza ujue!!
 
Netflix and chill haijawahi kumuacha mtu salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…