The mason, mara mwalimu ana elimu ndogo, mara nesi ana elimu ndogo. Mamako kliniki alifanyia mbinguni ukasoma ahera? Kuwa mstaarabu, kosa la mmoja lisiwe la wizara.Manesi wana Elimu Ndogo Boss, Baada ya Kufail Fprm four wakakimbilia Huko sasa usishangae wakikupunguzia stress!
Lakini hakuna watumishi wepesi kugegedwa km manesi.HAKUNA watumishi wa umma wenye dharau kama baadhi ya manesi kwenye Dispensary ya mtaani kwetu............ Yaani kuna nesi nimevuwa suruali anidunge sindano THEN ananiuliza HAYA MATAKO ULIPAKA MAFUTA LINI??? [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Nilikosa jibu. [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
Sio kweli nenda kachungue upya qualifications za kujiunga na unesiManesi wana Elimu Ndogo Boss, Baada ya Kufail Fprm four wakakimbilia Huko sasa usishangae wakikupunguzia stress!
Acha kuishi kwa mazoea hao ni Nesi wa utawala wa Mkapa...Manesi wana Elimu Ndogo Boss, Baada ya Kufail Fprm four wakakimbilia Huko sasa usishangae wakikupunguzia stress!
Ungemwambia kuwa hujifikii matakoniHAKUNA watumishi wa umma wenye dharau kama baadhi ya manesi kwenye Dispensary ya mtaani kwetu............ Yaani kuna nesi nimevuwa suruali anidunge sindano THEN ananiuliza HAYA MATAKO ULIPAKA MAFUTA LINI??? [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Nilikosa jibu. [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
Awamu hii buku wataliona msimbazi....huyo muuguzi awashwa na kuleee kunakonuka moshiThe mason, mara mwalimu ana elimu ndogo, mara nesi ana elimu ndogo. Mamako kliniki alifanyia mbinguni ukasoma ahera? Kuwa mstaarabu, kosa la mmoja lisiwe la wizara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza povuThe mason, mara mwalimu ana elimu ndogo, mara nesi ana elimu ndogo. Mamako kliniki alifanyia mbinguni ukasoma ahera? Kuwa mstaarabu, kosa la mmoja lisiwe la wizara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msiukatae ukweli Manesi wengi ni Form four Faliers! na ndo maana wana Harsh Treatment!The mason, mara mwalimu ana elimu ndogo, mara nesi ana elimu ndogo. Mamako kliniki alifanyia mbinguni ukasoma ahera? Kuwa mstaarabu, kosa la mmoja lisiwe la wizara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini ndiyo wanaookoa maisha ya mama na dada zetu.ndiyo wenye moyo wa kushika uchafu wote wa wagonjwa.hata wewe ukienda ukalazwa hospitali mtu utakaye muona mara kwa mara ni nesi.hata huyo mwenye matako ambayo hayakupakwa mafuta alichomwa sindano na huyo huyo nesi.hebu tuweze kujiongeza.mimi siyo nesi ila kazi ya unesi ni ya kujitolea kiasi flan hivi.kwa sababu wagonjwa wengi ni wakolofi sana hasa siku hizi tunapoambiwa serikali imeboresha huduma za afya na ukifika hospitali hakuna hata groves za kudakia mtoto mama anapojifungua.wanazushiwa wameuza wakati serikali haijapeleka.Manesi wana Elimu Ndogo Boss, Baada ya Kufail Fprm four wakakimbilia Huko sasa usishangae wakikupunguzia stress!
Ni kweli Mkuu ila tengua Hio kauli...sijawahi kuwa kilaza darasani..sijawahi kukosa division One!......hadi kwenye life mimi ni mtata....adi utafutaji wa life natishaa!Lakini ndiyo wanaookoa maisha ya mama na dada zetu.ndiyo wenye moyo wa kushika uchafu wote wa wagonjwa.hata wewe ukienda ukalazwa hospitali mtu utakaye muona mara kwa mara ni nesi.hata huyo mwenye matako ambayo hayakupakwa mafuta alichomwa sindano na huyo huyo nesi.hebu tuweze kujiongeza.mimi siyo nesi ila kazi ya unesi ni ya kujitolea kiasi flan hivi.kwa sababu wagonjwa wengi ni wakolofi sana hasa siku hizi tunapoambiwa serikali imeboresha huduma za afya na ukifika hospitali hakuna hata groves za kudakia mtoto mama anapojifungua.wanazushiwa wameuza wakati serikali haijapeleka.
Dharau zako ni za kupitiliza.waliofeli kuanzia darasa la saba ni wengi sana.hata wewe pengine ulifeli darasa la saba hata formu four uliapata credit za superglue lakini uliendelea mbele.na sasa unalitumikia taifa ndivyo ilivyo kwa nesi, nae alisomea huo unesi.unesi ni taaluma.
Ni kweli , wewe si ni mason,na tunaambiwaga hakuna mason boya boyaNi kweli Mkuu ila tengua Hio kauli...sijawahi kuwa kilaza darasani..sijawahi kukosa division One!......hadi kwenye life mimi ni mtata....adi utafutaji wa life natishaa!
Hahahaa eti Hakuna Mason Boya Boya!Ni kweli , wewe si ni mason,na tunaambiwaga hakuna mason boya boya
Sent using Jamii Forums mobile app