Manesi wana dharau sana.

[emoji23][emoji23][emoji23]pole,uwe unapaka mafuta Mkuu amekukumbusha tu sio kwa ubaya,

Manesi kuwa watata ni kawaida Kukaa na wagonjwa sio kitu rahisi jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungekuwa unaelewa kuwa ni haki yake kuuliza na kupata jibu kutoka kwako, nadhani usingekuja JF na Mada ya aina hii (labda kama ulikuwa na lengo la kufurahisha watu)

Kumbuka, isijekuwa unafanya mzaha (Jokes) kupitia taaluma inayowapa wenzio Mshahara ambao kwao husomesha watoto na kupata Ugali, utakuwa hutendei haki fani ya wenzio....!!

Kuna kosa gani Trafiki akikukamata kwa kosa la gari lako kisheria na akakuuliza lini umeliosha gari lako....!!

Unadhani ungekosa jibu...!!?

Heshimu kazi za watu Mkuu...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni sehemu ya majukumu ya mfanyakazi wa afya kuhamasisha usafi kwani uchafu unaweza kupelekea kupata magonjwa haswa ya ngozi na ambayo yanaambukiza kwa contact. Hivyo hata yeye unaweza kumuambukiza wakati akikupatia huduma. Mtu anaekukumbusha swala la usafi wa mwili wako unapaswa kumshukuru.
 
Lakini hakuna watumishi wepesi kugegedwa km manesi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unachosema ni kweli kabisa,wepesi kugegedwa kinoumah halafu wengi wao hawaolewi na hawapendi kugegedwa kwa kondom.

Vilevile ndiyo watumishi wanaoongoza kugongwa maofisini na waganga au ndugu wa wagonjwa,kwakweli ni warahisi sana,na wanakufa kwa ngoma sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anadhani unesi ni HKL huyu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Manesi gani,wale wanaovaa mavazi ya bluubluu mnataka kusema wakifaulu,wale walifeli wengi wao na vimishahara vyao ambavyo take home ni 285,000/= na wengi wameingizwa kwa kugegedwa tu makazini na walionusurika kutumbuliwa kipindi hiki wana wasiwasi na wanagegedwa hovyohovyo na madereva wa idara ya afya pamoja na bodaboda tena kaa wakiwa night wanagegedwa hukohuko kwenye vi-dispensary

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Keyon, post: 22958573, member: 380123"]Wapigie wimbo wa Wagosi wa kaya-wauguzi

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]sa tatuu utaskia nakwenda lunch time.lunch gani sa tatu wakati tumbo linanikata .hahhaha wagosi waliua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…