Mange amlipua Shamim mwasha

Huyu madame huku tunakoelekea anaweza kuanzisha Chama chake na naomba asiwe na mawazo hayo, maana atasepa na kijiji kabiaaa

√√mtu gani hueleweki kama sigara kalii, na pia sapoti watu wanakupa

* why should be scared for all these scandal though she win support from the same crowd* [emoji15] [emoji15]
 
Smart thinking mkuu
Ndo.ujue na sisi watanzania ni watu wa ajabu
Kuna watu wanamuabudu kabisa yaan huwaambii kitu kuhusu mange
 
Kumuelewa mange kuna hitaji akili ya ziada kidogo na pia uwe ni mfuatiliaji sana wa ligi kuu ZA Ulaya.
Huyu kaadhirika na tabia za wenzetu weupe hana uvumilivu fanya mzuri mia kosea moja kukutoa
tizama jinsi makocha hufukuzwa kwa fedhea ilihali wiki iliyo pita tuu alisifiiwa haswa kwa mafanikio
 
 
Kumbe jamaa ameshariport Central tayari, do huyu bwana alimpiga Mange vibao pale Dar Free Market mchana kweupe, katika watu ambao Mange hatawasahau ni Abdul Nsembo. Sasa hivi naona atakua anajiburudisha na zile green tea detox alizokua anauziuza.
Ngoja wanaume tumsaidie kutunza mke huku yeye akiendelea kunyea debe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…