carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Subiri lulu amjibu,mana akimjibu tu ubuyu utarushwa hewani,hapana chezea mangeTena mchokozeni haswa ili mange atupe ubuyu wa marehemu seki alivyofariki siku ya birthday ya lulu
Kwahiyo mange anataka huyu binti akae eda?Anapenda kunyenyekewa na kila mtu,pia ana wivu kwa kila aliyemzidi kwa uzuri na fedha
Yule mama sijui bibi ni mgaagaa na upwa tu hana hata anachokijua ye kazi yake ni kuropoka tuHivi wewe unaamini kila anachosema?
Umesahau kuwa alisema ray kigosi ni suspect number moja kwenye kifo cha kanumba na kuwa info kapenyezewa na polisi flani?
Kumbe yalikuwa matango pori..
ThubutuRais wa insta Zari,mange monitar tu wa chekechea
Hatari hahaTena eda ya kunyoa upara hakuna kutabasamu wala kuingia insta
Na lulu anashindwa kujibu maana mustakabal wa kesi yake bado haujulikani laiti angejua kesi yake yaishaje insta ichechafuka leoKwa sasa lulu kabanwa na kesi hawezi kujibu,kuna kipindi lulu alimchokoza le mutuz jamaa akakumbishia kesi lulu akaufyata
Hilo nalo kubwa jinga jitu lina mavuzi ya shaba kukaa mitandaoni au kitaani kujadili mambo ya kike ni ushoga sio uanaume period.Kwa sasa lulu kabanwa na kesi hawezi kujibu,kuna kipindi lulu alimchokoza le mutuz jamaa akakumbishia kesi lulu akaufyata
Na jambo la kufurahisha Mange anamsema lulu wakati uwa anajisifu mwenyewe kuwa alianza uchakaramu mapema.Na lulu anashindwa kujibu maana mustakabal wa kesi yake bado haujulikani laiti angejua kesi yake yaishaje insta ichechafuka leo
[emoji23][emoji23][emoji23]naona unautani na le mbebezHilo nalo kubwa jinga jitu lina mavuzi ya shaba kukaa mitandaoni au kitaani kujadili mambo ya kike ni ushoga sio uanaume period.
bahati mbaya sana jf sio instagramMkuu nataman angemchokoza lulu kipindi kesi haijatajwa, insta pasingekalika
Hawaz jibishana na vidume yule!yeye ana shida sana na wadada maana anawaonea wivu wanafaidi sana[emoji23][emoji23][emoji23]naona unautani na le mbebez
Subiri aje akujibu humu
bahati mbaya sana jf sio instagram
maana naona ultaka watu wamchambeee mange roho yako iridhike
akuna asie na dhambi ila ukijiona msafi sana kiasi kuwachukia wenye dhambi wote mnakua kundi1
kuchukia kidogo inaruhusiwa ila sana unakufuru
punguza chuki kwa mange MAMA
Yaani navoutamani huo ubuyuTena mchokozeni haswa ili mange atupe ubuyu wa marehemu seki alivyofariki siku ya birthday ya lulu
Huyo ni Rais kwa wapumbavu kama wewe.Rais wa insta Zari,mange monitar tu wa chekechea