Mange amshambulia Lulu

Nasikia Mange aliona picha za babaake analiwa kiboga ndio akili imemruka mpaka leo. Yaani jinsi alivyo, anatakiwa waletwe mashehe na mujahidina wamswalie, kisha waje mapadre, maaskofu, makadinali, Lugambwa, Pengo, Gwajima wamuombee na baadae apelekwe kwa bibi apungwe. Hapo ndio mumtafutie psychologist amsaidie.
 
Nimetafuta kootee JF nzima sijaona sehemu uliponitongoza nikakukataa au kukubali kisha kukupa mtoso,mbona unanifata fata hivyo kila thread lazima uniquote na kukosoa kheee una gubu kama jogoo mbaka vifaranga
am just saying
punguza chuki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…