Mange ana matatizo gani na familia ya Diamond Platnumz!?

Mange anamtaka Diamond
na alishasema akimtaka hakatai!
BUT TATIZO MANGE NA DIAMOND NI WEMA!
MANGE ALIJIPA UADAD WA HIARI WA WEMA anasema ndo alimuingiza kwenye mambo ya umiss akitokea miss dar oceanic sijui!
so pale naseeb alipoachana na wema ndipo ugomvi nae ulipoanza na unapoendelea!
 
Kama mange ni bomu si um unfollow insta? kujazana kumjibu ndio kumpandisha chati

Hawawezi kwa sababu wanasumbuliwa na Mange Obsession Syndrome.

Now, because it is so crystal clear that these sufferers of MOS can't go cold turkey on their fixation with her, only she has to prescribe the antidote to their suffering.

Picture that...
 
Yaani huyu Mange nimemuona yuko obsessed na Daimond anajifanya kuwa anamtetea Wema lkn kuna jambo
Yuko obsessed beyond measure
Lkn pia naona ni wivu nayo maisha ya Daimond na Zari anayapenda sana sasa yeye Hana ndio roho inamuuma kupita kiasi
Maana alikuwa anapenda kuonekana bosslady
 
Kweli huwa anatukanwa lakini je Diamond au Zari washawahi kumtukana Mange? Tena Zari kamvumilia sana Alianza kumchokonoa Zari siku ya kwanza tu alipoanza mahusiano Na Dai,Zari karusha jiwe moja tu anatapatapa.
 
Jiwe lipi alilorusha?
 
Mlete Mada naomba nikujibu kama ifuatavyo. Kwanza, lazima uelewe kuwa Mange ni Celebrity mkubwa tu hapa TZ. Ukumbuke kuwa Miss TZ wa kipindi hicho ambao walifanikiwa kushinda ukiishia kwa Wema Sepetu amekuwa akiwaandaa yeye. Pili, Suala la Mange na Diamond usilichukulie hivyo. Kama unakumbuka wakati Diamond alivyofanya Diamonds are Forever. Mange ndiyo aliyeandaa akishirikiana na kina Ruge. Kwa hiyo fanya utafiti wa kutosha. Dai Anamheshimu mno Mange na Matusi yake yote ndiyo maana hata siku moja Dai ajawahi kuongea chochote kuhusu Mange. Tatu, Mange kumuandama Zari yeye mwenyewe ndiyo alimuanza. Kumwambia RIP Lance Snapchat na watu walimkanya huyo Zari kuwa asimchokoze Mange. Sasa kajibu mashambulizi Mange anaonekana mbaya. Nne, Mange ni Blogger, tena the best female Blogger in Tz. Kwa hiyo ana uhuru wa kublog chochote kile. Ndiye mmiliki halali wa U-Turn. Siku ikirudi hewani pita usome maada zake. Ni mwandishi mzuri sana.
 
She is a loser who hates her own life so ana wivu na watu wanaoenjoy maisha yao, kwahiyo anajitahidi kadiri awezavyo kumfanya kila mtu awe as miserable as she is..

Mpuuzi..
She is not Miserable Chief. Humjui huyu Mange wewe
 
Mange ameanza kumfuatilia Zari kabla ya talaka kafungue blog yake uone
 
Ana tatizo la Wivu kwa watu wote waliomzidi kimaendeleo
 
Ndo tatizo la kuchanganya kazi na familia si ameamua kuweka kila kitu public domo haya ndo madhara yake watu wanamtusi mpaka mama yake mzazi kitu ambacho sio sahihi
Mi huwa unani boa haya maneno yako,wangapi wanaonyesha familia zao......sema tu huyu jamaa wanatamani tu asiwepo hapo alipo.
 
only truth will make you free
 
Aiseeee [emoji26][emoji26]
 
Mi huwa unani boa haya maneno yako,wangapi wanaonyesha familia zao......sema tu huyu jamaa wanatamani tu asiwepo hapo alipo.
Jamaa anapenda sifa Sana na showoff msanii gani Tanzania anachanganya family na music
 
Mbona Mange ndo mnaona ana tatizo tu, Hivi huyo Zari alivyomchamba Mange, huko snapchat mbona hamsemi??? Le Mutuz kwenye page yake hamuoni anavyomsema Mange?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…