Mange awashukia Wema na Diamond, asema bila yeye Wema asingeshinda U-miss

Wametumwa hao kupoza sakata la Makontena ya Makonda,muvi iko well planned hiyo, kalagha bao...!!!![emoji41]
Be serious man, yaani issue ya makontena izimwe na huu upupu? Hakuna mtu mwenye akilia zake atakayepoteza muda kujadili huu upuuzi wa wapuuzi!
 
Kwahiyo mange anaona sifa kusema alivujisha maswali kwa wema ili ashinde?!hapo si sawa na kuiba kura tu kwny uchaguzi...halafu yeye ndio anatuambia tuingie barabarani kuandamana [emoji17]
Hata Mbuzi hawezi kuandamana.
 
911, we are in deeply trouble in JF,Mambo ya Insta ni ya hatari sana ila wasituletee huku .
 
ila mange bana kila kizuri lazima ajihusishe amehusika kukitengeneza ana uongo mkavu balaa
 
Aiseee.......sipendagi maswala ya umbea ila haka kaubuyu kana udamshi damshi flank HV mmmmmhhh[emoji5] [emoji5] [emoji5]
 
Be serious man, yaani issue ya makontena izimwe na huu upupu? Hakuna mtu mwenye akilia zake atakayepoteza muda kujadili huu upuuzi wa wapuuzi!
Na wadandiaji wengi wa ishu ya makontena ni wapuuzi puuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…