Wema alishaambiwa toka awali asigombane na mtu aliyezaa na baba yake kwani huyo kalaaniwa ila hataki, shauri yake. Watu wanampaga tu ujiko huyu binti kiziwi mwenye kutafuta kick at all costs. Ngoja nimpigie simu Baba yetu Le Mutuz aje kumpa makavu live.