Mange Hapendi maendeleo ya Diamond lakini anapenda kufuatilia maisha yake

Mangi Kimambe atagomea urais wa Marekani 2020. Mnaodai analala ghetto mtaaibika akihamia White House. Watoto wake watakuwa wanapiga story na kina Sasha Obama, sio nyinyi kajamba nani.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚aiseee
 
Vitu zikimuhusu Zari ndio anakuwa upande wa Dee.. mengine hayumo kabisa.
Anamponda Zari kutaka watu wasimfatilie na wamtukane tu.. ila bado hamuwezi..

Angekuwa anaacha comments za wanaompa cha uso bila kuzidelete angeonekana hajali.. yupo weak. Full wivu tu..
 
Dawa ya Mange ni Tororooooo Boy
 
Leo wamepeana hati Mange aonyeshe wazione ziko bongo[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3]mimi nacheka tuuu!!!
Leo Mange ameonyesha graduation yake ya Masters at Walongo longo University Dubai, Bi Tukinao anaambiwa amewekeza kwenye K.
 
Leo Mange ameonyesha graduation yake ya Masters at Walongo longo University Dubai, Bi Tukinao anaambiwa amewekeza kwenye K.
Mwanamke mjinga pekee ndo atajivunia kuwekeza kwenye K na kila anaemtetea nae ni kahaba tu!

Mwanamke shule bibie wee...hakuna raha japo kupata hata 100 lakini kwa jasho lako!
Siku K ikichoka sijui utapata wapii!!watu wanasubiri madanga waishi..
Zari amemzidi mange uzuri na ukahaba tu!!

Kweli mwanamke asiyesoma sehemu zake za siri ndo zinaumia
 
Mganda ameishiwa ma pouse.
 
if this is real we mwanamke una akili sana nimekupenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ