Tetesi: Mange Kimambi adai Tanzania hamna wauza madawa ya kulevya, asema ni pombe na shetani tu zilimpitia

Mimi niliamua kuowa Sudan kusini mtoto mwafrika wa ukweli.
 
Naona Mazungu Ya Ung Washamtia Kidole Alafu Wamemnusisha Kaamua Kukaa Kimya
 
Mods wanapendeleaaa ningeandika Mimi hii story kuhusu lemutuz wanaiondoa hii ya uongoo IPO tuuu...siku hizi unapita tu siandiki tena Maana wengine Ni WAKIWAA humu JF.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Le Super Noah...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…