Mange Kimambi ahojiwa na Jeshi la Polisi jijini Dar

back up anayo ya wale mawaziri wake asowajua hata sura wanampump wanaandika comments yeye anazipost tu without blinking will see how that arrogance lasts:fencing:
 
Mie naona wote waliotukanwa na Mange waende kumfungulia mashitaka hata viongozi kama Mh Lowassa Mh Makamba Mh Ridhiwani Mh J.M Kikwete na watu wote maana hata huyo anye muita mr sembe hajamtishia na bastora sema alienda na kumzaba mabao tu sasa kwa yeye alivyo akaona amchafue kwa kusema alimtolea bastora nani mwenye akili timamu akamuwekea bastora mtu mwenye Mange? Stop bullying people you'll live peaceful wewe dada.
 
Hata hivyo ni jasiri sana. ningekuwa mange nisingerudi bongo wakati huu. huku sijui kama atasalimika...Mungu ampiganie
 
mshtakiwa kada wa ccm tena mtangaza nia za ubunge wa viti maalum,mahakama za ccm.polisi wa ccm ,ngoja tuone watafanyaje?
 
Hata hivyo ni jasiri sana. ningekuwa mange nisingerudi bongo wakati huu. huku sijui kama atasalimika...Mungu ampiganie

Yap bad timing....

Keshawavuruga mashosti wote...

Kamnyambua makamba kingunge na lowasa...tena daily

Halafu karudi....

Tamaa ya ubunge... angenyuti kama miaka 2-3 watu maumivu yapungue
 
Hii ishu yake ya cyber-bulling asipokuwa makini atachezea miaka mingi gerezani. Anatakiwa athibitishe yale aliyokuwa anayaandika kwa ushaidi usiotia shaka.

huyu miaka mi5 itamtosha!
 
Hii ishu yake ya cyber-bulling asipokuwa makini atachezea miaka mingi gerezani. Anatakiwa athibitishe yale aliyokuwa anayaandika kwa ushaidi usiotia shaka.

Duh isha anza kum cost angejua angekaa huko huko US.. Kuna watu wamefurahia hiyo kitu
 
Iweje mtu anatukana watu kila siku alafu eti kaenda kuchukua form za kugombea Ubunge hivi nina imagine Mange ni mbunge naona atakuwa anawatukana bungeni kabisa

Ataanzia kwenye kampeni kabisaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…