Rosh Hashannah
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 3,415
- 2,043
[emoji106]umeipima kwa kutumia mashine gani? ila kama unatumia hisia na utashi basi wako watakaouona ni mzuri pia! ni asili ni kawaida
watu kama wewe ambao wanajiona wakisema ndio wote muuone hivyo mara nyingi ni wabinafsi, washamba, wana inferiority complex, hawajiamini, na wana wivu mkali...kikubwa wanakuwa na element za uchawi, usikute wakati unaandika hiyo post ulikuwa uchi unaroga wote tukubaliane na wewe!!
kweli unakaa na kuwaza kuwa fulani anatoa wimbo kesho utakuwa mbaya???? ww ni rafiki wa abdu kiba, au uko studio au una ukaribu na hiyo familia na una bifu nao
kwa kifupi umeharibu mkuu
Kweli mkuuumeipima kwa kutumia mashine gani? ila kama unatumia hisia na utashi basi wako watakaouona ni mzuri pia! ni asili ni kawaida
watu kama wewe ambao wanajiona wakisema ndio wote muuone hivyo mara nyingi ni wabinafsi, washamba, wana inferiority complex, hawajiamini, na wana wivu mkali...kikubwa wanakuwa na element za uchawi, usikute wakati unaandika hiyo post ulikuwa uchi unaroga wote tukubaliane na wewe!!
kweli unakaa na kuwaza kuwa fulani anatoa wimbo kesho utakuwa mbaya???? ww ni rafiki wa abdu kiba, au uko studio au una ukaribu na hiyo familia na una bifu nao
kwa kifupi umeharibu mkuu
[emoji115] [emoji23] True.[emoji91] [emoji91]umeipima kwa kutumia mashine gani? ila kama unatumia hisia na utashi basi wako watakaouona ni mzuri pia! ni asili ni kawaida
watu kama wewe ambao wanajiona wakisema ndio wote muuone hivyo mara nyingi ni wabinafsi, washamba, wana inferiority complex, hawajiamini, na wana wivu mkali...kikubwa wanakuwa na element za uchawi, usikute wakati unaandika hiyo post ulikuwa uchi unaroga wote tukubaliane na wewe!!
kweli unakaa na kuwaza kuwa fulani anatoa wimbo kesho utakuwa mbaya???? ww ni rafiki wa abdu kiba, au uko studio au una ukaribu na hiyo familia na una bifu nao
kwa kifupi umeharibu mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu hapo kwenye "ni nyimbo mbaya haijawahi kutokea " [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Msanii kutoka label ya king's music inayomilikiwa na Ali Kiba aitwae Abdukiba anatoa wimbo iitwayo Single. Akiwa amemshirikisha AliKiba.
Nimeona vipande vya hiyo video ni nyimbo mbaya haijawahi kutokea. Imerecordiwa na hanscana.
Tusubiri itoke wimbo mzma tuone.
Mange kimambi ana ushawishi mkubwa kwa mashabiki wake (Umoja wa KUmsaport MAnge) amsaidie Abdukiba kama alivyomsaidia Alikiba
Kesho audio na video znatoka. Sina chuki na Abdukiba ila ukweli wimbo mbovu
Dalali juma, hebu ni-direct na mm wanapouza izo viewz.mlitucheka tulivyotoa Seduce me: mwisho wasiku mkapoteza 50 milion kwenda kununua fake View.