Mange Kimambi amuasa Lulu’Una kesi kubwa achana na social media, jaji atahisi hujali’

Ye mwenyewe kesi za kujibu na makofi yanamsubiri, aachane na matusi.
 
Yaahh sure..mange amewaza mbali sana kuhusu hili
 
Sasa hapo si ndio jaji ataona hata kama hakuwa ameona mwanzo!?

Mbona hakumtumia hiyo meseji Private?!
 
Reactions: OKC
Mange Kitambi.. siku nyingne sijui anakula maharage ya wap cjui
 
Ningekuwa Jaji hii kesi ungekuta nilisha ifutilia mbali... Kesi ya hovyo sana
 
Tayari lulu alishapewa ushauri huo ndio maana leo kawakimbia waandishi wa habari

Binti alidhani media na sympathy za mitandaoni zitamsaidia,maana mwanzon wa kesi alikua anaweka nne na kuchat mahakamani ila now kesi imemkalia pabaya adabu zimeanza kumrudi.
 
Hana adabu huyu dogo, eti yupo kwenye mahakamani anachati, watu wapo kazini yeye anachati , ngoja ale mvua za kutosha ndo atajifunza.
 
Toka lini mtu mwenye nia njema akamshauri Mtu hapa. Ukweli upo that Lulu anachemka. Mavazi nk Hivi ni vitu muhimu kama watakuja wazee wabaraza Baadaye.
 
Mahakimu na mawakili wanaumiza kichwa, wazazi na ndugu wa marehemu kanumba bado wana majonzi ya kuondokewa na mpendwa wao lakini yeye alikua bize tu kubadili mabwana na kuzunguuka tu kwenye vituo vya redio na TV kuongea upuuzi yaani utadhani alikua keshashinda kesi tayari... hichi kipuuzi kinatakiwa kitiwe adabu ili ajue kusababisha kutoa uhai wa mtu ni kosa kubwa mno..aende jela tu akabadilishwe akili
 
Alijua yupo location
 
Jamani Lulu angefungwa hata miaka 2 tu ashike adabu ili akitoka awe binti mwema. Japo kesi ilikuwepo lakini kiafrica familia yake wangemalizana na familia ya Kanumba hata kuchinja ng'ombe na kulipishana faini wakasamehana , hata mahakamani wangekuwa wanaongea na mama Kanumba kama marafiki ingesaidia kuonekana kweli hakukusudia.

Lakini simshangai ndo kawaida ya miwanawake ya kichaga kujaa roho mbaya na ukatili ,hawana utu kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…