Mange Kimambi amuomba wakili Albert Msando akamtoe Wema Sepetu

Kuna haja serikali ijenge vyuo vya sheria vya kata kama ilivyo kwa secondary. Watafutwe na malecturer kabisa ili kuwasaidia watu. Wapate japo mwanga kidogoo
 
Wataisoma nambaaaaa[emoji108][emoji108]
 
Makonda kawashika pabaya pozu lote hili tulieni makonda ainyoeshe Dar imepinda hawa mame Zenu wadogo kina wema sijui tunda veemoney deal nao makonda
 
Isho -boy una vituko sana

Kuna comment yako inamhusu Ali kiba na yale mahojiano SA.. Kila nikikumbuka ulivyocomment mbavu zangu zinavunjika kwa kicheko[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji16] [emoji125] [emoji85]
Hahahaaa daah alituaibisha sana mshikaji
 
Mambo ya ki siasa zaidi. Nafikiri IGP anaelewa jinsi ya kumkamata mtuhumiwa wa madawa ya kulevya na procedure nzima ya jinsi ya kufanya mahojiano. Siyo kwamba polisi walikuwa Wanashindwa kuwakamata la, ila haya mambo ni very sensitive ukikamata watu hovyo unaweza kupoteza ushahidi na kufanya wahusika wakuu wapotee. Nijuavyo mimi mara nyingi kwenye issues sensitive kama hizi inakuwa hakuna media mpaka itakapokuwa confirmed.
Nchi za wenzetu waki ku suspect inawachukuwa muda kukukamata watakufuatilia mambo yako unaishi na nani, unafanya shughuli gani, rafiki zako nani unapenda kutembelea wapi na pia wanaweza kuwahoji hao watu wako ki trick bila kuwaudhi na bila wenyewe kujua kama wanafuatiliwa. Hata wewe mwenyewe unaweza kuhojiwa bila kujua ndiyo maana wakikamata hawakosei. Hii kazi tukubali kwamba ni ya ma detective.
 
MAJITU KAMA HAYO NDIO YA KUPOTEZA, DUNGA SINDANO ZA SUMU HUKO MAHABUSU TUNUSURU WANETU
 
Waache wenye kazi zao wafanye kazi zao... Mwanzon mwa mwez December walitangaza vita dhidi ya watu wa bangi, kila wakikamata wanatangaza... mbona hawajapoteza ushahid, mwez umeisha mkonon wana watu 7000 wa kes za bangi peke yake.... waache wafanye wanacho kijua wao,
 
Kuna watu ushabiki unafanya uwezo wao wa kufikiri unakuwa mdogo sana
Aaaaah Belo tararibu mkuu,mimi nina ushabiki gani kwa huyo Wema au Mange?
Sio kila post yangu imekaa kishabiki,naandika kile kilichonijea akilini.
Period
 
Nna wasiwasi huyu nifah ndo mange kimambi hiyo nifah ni jina feki tu [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Aaaaah Belo tararibu mkuu,mimi nina ushabiki gani kwa huyo Wema au Mange?
Sio kila post yangu imekaa kishabiki,naandika kile kilichonijea akilini.
Period
Ni kweli kuwa hujui kukutwa na madawa ya kulevya ni kosa?

Au hiyo account yako mnatumia wengi?
Mange alikuwa anawatuhumu watu wanafanya hiyo biashara ya unga akawa anataka wakamatwe na kibaya zaidi hajawahi kutoa ushahidi wa hizo tuhuma juzi baadhi ya wanaotuhumiwa wameitwa kuhojiwa ajabu tayari amebadilisha gia angani anaanza kulia Wema aachiwe
 
Hivi yule rais anaowaua wauzaji Na watumiaji Wa madawa anakosea au yupo sahihi?.
 
Nime kumbuka Mara ya mwisho walikuwa pale mwanza kwenye kampeni za uraisi watweta eeee kweli kufa kufaana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…