brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Mwanadada Mange Kimambi amefunguka kwa hisia kali kabisa kuwa anatamani aone babu Seya ananyongwa mpaka kufa kwa kuwa adhabu ya kifungo cha maisha walichompa ni kidogo sana kulinganisha na kitendo kichafu alichowafanyia watoto
Mange amefunguka kama mzazi amesema kuwa angekuwa yeye amebakiwa mtoto wake wa kike aliyekuwa naye asingekubali hata kidogo angesimama kidete mpaka ahakikishe mtuhumiwa anayongwa mpaka kufa
Mange akaendelea kusema hawezi hata siku moja akamuonea huruma babu Seya kwa kuwa ushahidi upo wazi kabisa na anashangaa watu wanaomtetea babu Seya