Mange Kimambi: Babu Seya bora anyongwe mpaka afe kifungo cha maisha walichompa ni kidogo sana

Status
Not open for further replies.
hivi hiki kiumbe kinahis kuna siku kitakuwa kidume nini ?

unawaaibisha wapere asee
 
She said "we just don't know" i 'm tell her "just shut up for something you don't know" [emoji89][emoji89][emoji89][emoji89]
 
Si ilisemwa kwamba watoto waliobakwa waliambukizwa VVU, hivi mtu mwenye VVU anaweza kukaa jela muda wote huo na msongo wa mawazo ya jela bila afya yake kutetereka?
Siasa inapokuwa inasikilizwa zaidi kuliko sayansi ya ukweli ndio tunapata haya majibu!
 
Sasa unalaani nn kitu usichokijua wala kuwa na uhakika nacho,,? Nyumba unayokaa mume,mkeo,wanao,mama yako na baadhi ya ndugu,halafu ufanye uchafu huo varandani,,??!! Unaamini kuwa mkewe alikuwa anafumbia macho au aliruhusu uchafu huo ufanyike ndani kwake, Kwa idadi yote ile ya wahanga waliodai kufanyiwa hivyo,.? Unataka kuniambia hakuna watoto wanaoweza kuongea Yale waliyoyaongea kwa kufundishwa,?? Sipendi kutolea mifano ya watoto wasanii kwenye luninga maana utasema ni kipaji cha usanii kilichopo ndani Yao, Lkn vp watoto wadogo ambao leo tunawaita panyaroad sijui na wengineneo ,kama hao wanaoweza kushika mapanga na kufanya makubwa wanayoyafanya, vp tukatae kusema hata wale huenda labda walikuwa mahususi ktk mafunzo ya kutoa ushahidi wa uwongo kwa malipo,? Na yasemekana kuwa kuna dhana ya kwamba mtoto mahakamani ushahidi wake hauna shaka,kwa maana hiyo unategemea nn kwa kina Kibakuli a.k.a wasanii,,?? Ulipikwa vizuri ukapakuliwa
 
Huu ni usiku wa giza wengi hatufaham ukweli ila malipo ni kwa Allah ndio hakimu wa haq.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…