Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Mwanamtandao mashuhuri na machachari Afrika Mashariki based in LA Mange Kimambi amesema Zari bado hajamove on na kumuacha Diamond Platnumz.
Akichangia post mojawapo Instagram kwenye page ya the realorinalist iliyokuwa ikimsifia Zari kwa kumove on na kuachana na Diamond Platnumz Mange amesema si kweli kuwa Zari amemove on badala yake Diamond akiamua kumrudia wakati wowote anampata na Tukinao hachomoi
Akichangia post mojawapo Instagram kwenye page ya the realorinalist iliyokuwa ikimsifia Zari kwa kumove on na kuachana na Diamond Platnumz Mange amesema si kweli kuwa Zari amemove on badala yake Diamond akiamua kumrudia wakati wowote anampata na Tukinao hachomoi