Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Peleka mambo ya udaku huko!!Mwanamtandao mashuhuri na machachari Afrika Mashariki based in LA Mange Kimambi amesema Zari bado hajamove on na kumuacha Diamond Platnumz.
Akichangia post mojawapo Instagram kwenye page ya the realorinalist iliyokuwa ikimsifia Zari kwa kumove on na kuachana na Diamond Platnumz Mange amesema si kweli kuwa Zari amemove on badala yake Diamond akiamua kumrudia wakati wowote anampata na Tukinao hachomoi
hahahahahaha utasikia eti ni mwanasiasa ao mwanaharakati hahahahaha .. bongo vilaza tu wallah.Ndio karudi kwa style hiyo baada ya kuaibika na yale maandamano yake
imeletwa na dumedikeHii post imeletewa na Me? Wonders shall never deceased[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Sent using Jamii Forums mobile app
HR alikuwa chizi yule umenikumbusha kuna uzi mzima alimaliza anachati mwenyewe ππππBimama kama hr666 vile na iD zake nyingi nyingi kutwa kuchat mwenyewe