Mange Kimambi is in love once again !!

Babu usiende Gym, nitakutengenezea bembea home[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

CC : Kopi kwa Bibi
Ewaaa... nakuahidi sitaenda gym wala coco beach wala bungeni Dodoma. Mi ni mzawa na mfia Kolomije. Jina langu babu Mashiguntwe Masanja....
 
Ewaaa... nakuahidi sitaenda gym wala coco beach wala bungeni Dodoma. Mi ni mzawa na mfia Kolomije. Jina langu babu Mashiguntwe Masanja....
Hapo sawa Babu wajukuu zako tutaendelea kufaidi hadithi, soga kutoka kwako hadi na sisi tutakapopata wajukuu ndio utastaafu hiyo kazi
 
Hapo sawa Babu wajukuu zako tutaendelea kufaidi hadithi, soga kutoka kwako hadi na sisi tutakapopata wajuu ndio utastaafu hiyo kazi
Hahahah usinambie huwa unasoma gazeti la Nipashe. Nimeacha kuandika hadithi siku hizi... nagonga nyagi tu hivi sasa
 
Hahahah usinambie huwa unasoma gazeti la Nipashe. Nimeacha kuandika hadithi siku hizi... nagonga nyagi tu hivi sasa
Usizidishe hicho kichangamshi maana utakuwa unaoana barabara ya njia 6 kwenye barabara ya njia 2, mwishowe utajikidnaped[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hizi sifa ndo zilizomharibu wema akajiona yeye ndo yeye eti classy[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wazungu wengi wanapenda wanawake wembamba kama Mange , plus mange she has a class and she is educated , sema tu shoga Yule damu ya uswazi ipo kwenye DNA mwanamke Ana mdomo mchafu
 
Wanawake Wa Tanzania jinamizi la kudanga hawatoliacha wallah hata wakienda kuishi kwenye sayari ya pluto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…