King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Alivyojibinua utafikiri kaikalia anaisikilizia.
Umeona ee?Hizi make ups hizi. Mange kama Naomi Campbell, na alivyokibinua dah.
Kaka na wewe umo [emoji23]
balaa mkuu bibi amekuwa kigoliHizi make ups hizi. Mange kama Naomi Campbell, na alivyokibinua dah.
Still in love
hahaaa warumi wewe mdomo mchafu huna ""? Au fujo zako huwa zinaishia humu tu ...?Wazungu wengi wanapenda wanawake wembamba kama Mange , plus mange she has a class and she is educated , sema tu shoga Yule damu ya uswazi ipo kwenye DNA mwanamke Ana mdomo mchafu
Uko makini
Uko makini
HapanaNaww ndio mikao yako hii?!
hahaaa warumi wewe mdomo mchafu huna ""? Au fujo zako huwa zinaishia humu tu ...?
hahaaWatu kama sisi mikwara tu nyuma ya keyboard , ukituona Live utasema tunasingiziwa🤣🤣🤣
Hapana
anawakomesha wabaya wake.. ila sio mbaya kwanini asiwe in love jamani!! Huyu babu allishampost kitambo wanadrive na pia wanakula mbona wa kitambo tu.. dada ktk ubora wake dada wa taifa huyoooo... 😁😁😁
Kwa kudanga hajambo mbona jamaa kama mzee hivi?
Sijawahi pakatwa..labda kulala chaliWw huwa unakaaje ukipakatwa na dume?!