tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Ndugu wa hivi heri umchemshe supu mana kwa afya yke ni kma unakunywa supu ya kongoroEti anahisi akibadili uraia kaka zake ndio watakaomchoma kwa Lukuvi.
Yaani hili limwanamke bure kabisa.
Hivi hao kaka zake wakiona watajisikiaje?
Ukiwa na ndugu kama huyu katika familia uwe na moyo wa chuma tena chuma cha mjerumani.
Abafikiri kupata ubunge ni kama hizo likes anazoambulia huko instagram.
Aendelee tu kuota
Umemaliza mdau[emoji1][emoji1][emoji1]OMG
Mchapakazi!!!???
Anachapia wapi kazi?
Mtu anayepotea insta pale tu anapokua amelala?
Kiufupi Mange ni a waste bullet?
Ana uwelewa mzuri wa mambo sikatai ila kinachosikitisha ni jinsi anavyomalizia muda,utu,heshima,nguvu na heshima yake instagram.
Anaandika mipost mirefu,mikoment mirefu faida anayopata sijui hata ni nini.
She is a social reject,anatia huruma na anahitaji kuwekwa kwenye maombi.
Mungu nisamehe ila nahisi ananuka,honestly mi nahisi mara nyingi tu analala bila kuoga sbb anakua busy sana insta hapati muda wakuoga na kusafisha nyumba.Niliona video jikon kwake kuchafu jaman aibu.
Matusi anayotukana sasa mmmh sijawahi ona wakumlinganisha.
Nahivi anakigugumizi nasubiri ajinadi nimsikie. Mange anajua kuandika tu na si kuongea.Ubunge wa chuki na matusi
Akijibu hoja ya kwa nini hachukui uraia wa USA,Mange kupitia ukurasa wake wa Instagram alijibu anaogopa kuukana uraia wa Tanzania kwani atapoteza ndoto yake ya kugombea ubunge 2020
Ubunge wa chuki na matusi
Watu wenye vigugumizi wanapenda sana kuongea ila ndo basi tena wamekunjwa ulimi kidogo...Nahivi anakigugumizi nasubiri ajinadi nimsikie. Mange anajua kuandika tu na si kuongea.
hahahaaaaa ikinishinda ya kuhama bongo basi ntaenda kijiji kisicho na umeme wala redio........mh huyu bnadamu kuupata ubunge bongo ni ndoto ya mchanaWe scalethat uanze kupack na mabegi kabisa. Wenzio Marekani walijidai "ohhh Trump akishinda nahamia Canada" blah blah blah. Sasa hivi wanaifikiria safari ya Canada alafu picha inagoma kabisa kuja!!!
hahahaaaaaa nazani humjui vizuri.....taratibu na kauli zako atakufanya uuone mji mchungu huu.simpendi mm hadi naogopa utasema namjuaOMG
Mchapakazi!!!???
Anachapia wapi kazi?
Mtu anayepotea insta pale tu anapokua amelala?
Kiufupi Mange ni a waste bullet?
Ana uwelewa mzuri wa mambo sikatai ila kinachosikitisha ni jinsi anavyomalizia muda,utu,heshima,nguvu na heshima yake instagram.
Anaandika mipost mirefu,mikoment mirefu faida anayopata sijui hata ni nini.
She is a social reject,anatia huruma na anahitaji kuwekwa kwenye maombi.
Mungu nisamehe ila nahisi ananuka,honestly mi nahisi mara nyingi tu analala bila kuoga sbb anakua busy sana insta hapati muda wakuoga na kusafisha nyumba.Niliona video jikon kwake kuchafu jaman aibu.
Matusi anayotukana sasa mmmh sijawahi ona wakumlinganisha.
Si wa mchezo mchezo Wana mkoma mbna InstaSio kwa matusi yale