Hapangiwi cha kupost ila asije akarogwa akaingia kwenye anga zangu
Halafu unakuta eti wanaitana kabisa "unapitwa huku" ..."jamani mkuje huku"
Yaani watu wanaitana kuja kuona matusi na hapo vimesemwa viuongo vyao, ajabu sana
Da inaelekea anga zako ni hatari aisee maana hiyo dawa ya tramadol watu wanaoipendelea kuinywa hawana roho ya kidunia hii kwa kweliHapangiwi cha kupost ila asije akarogwa akaingia kwenye anga zangu
Ahaha.... Mkuu siunajua tena wabongo wamemfanya celebrity acha tu tumfollowKumbe na ww huwa unafatilia eeh
Hahah unajitekenya na kucheka mwenyewe,si umfuate umpe maneno hayo kwa ur origin identity uone! Teh teh teh Magu mwenyewe na vyombo vyake vya kibabe vinashindwa kutaja hatua wanazozichukua itakua wewe jasho la kukuHapangiwi cha kupost ila asije akarogwa akaingia kwenye anga zangu
Wewe ni nani mpaka aingie kwenye anga zako Siro ameambiwa dawa yake inachemkaHapangiwi cha kupost ila asije akarogwa akaingia kwenye anga zangu
Aah kumbe ni viungo sio matusi basiHalafu unakuta eti wanaitana kabisa "unapitwa huku" ..."jamani mkuje huku"
Yaani watu wanaitana kuja kuona matusi na hapo vimesemwa viuongo vyao, ajabu sana
Utakua mwanamke mwenzake umejuaje yote hayoMaajabu kwa baadhi ya wanawake wa kitanzania pamoja na matusi yote ya Mange hasa yakiwalenga wanawake lakini hao hao ndiyo wapambe na mashabiki wakubwa wa mwanadada huyo.
Ndiyo maana na yeye anaendelea na anapenda sana kuandika matusi mitandaoni kwasababu wapenzi wake wapo hasa hasa hao wanawake wenzake.
Mange anahitaji ushauri wa kisaikolojia ili akili yake itulie hasa kukosa ubunge wa viti maalumu na kupewa talaka kumemchanganya sana.
Mlioko karibu naye msaidieni huyo Mtanzania anayejifanya ni Mmarekani.
Hapangiwi cha kupost ila asije akarogwa akaingia kwenye anga zangu
ahaha ahahah ahaha....Aingie anga zako unatumia id fake humu, nenda instagram umwambie hayo maneno
Iko wazi, kati ya hao uliowataja kuna mmoja anahitaji msaada wa kisaikolojia sana maana hata kwa kumtazama tu unagundua kabeba ZIGO ZITO.Mwenyekiti nani, Mbowe, Lipumba,MremaMagufuli
Usijifanye Mange unamjua sana na wewe una pesa nyingi na kudharau wengine. Mange wa zamani si Mange huyu mshenzi tu na matusi kila post yake kwa viongozi.Aliyewaambia kwamba Talaka inatia ukichaa kawadanganya, afanyacho Mange ni akili yake tu imemtuma lakini si sababu y talaka maana Mange tabia ya Bully watu hajaianza Leo wala Jana tangu yupo kwenye ndoa na baada ya ndoa,labda inaonekana kwa sasa sababu smartphone zimekua zinauzwa kwa bei ya kimasikini zaidi inayosababisha kuzagaa!