sijawahi kuona mwanamke mwenye wivu kama wewe.wenda mybe strange.MAJINGA SANA HATA MIMI HUWA YANADAI ETI MI MWANAUME .MARA NINA ID KIBAO YAANI HUWA SIWAELEWI
HATA KAMA NINGEKUWA WA KIUME NAWAHUSU NINI? YAANI MTU ANAWASHWA TU KUMUATTACK MTU PERSONALLY HUMU YANANIKERA SANA HAYA MADOGO KIBOKO YAO NDALICHAKO *****
Hahaa Nyani Ngabu bana...ndo nini sasa kujikwoti na kujiongelesha bana[emoji23] [emoji23] [emoji23]We ndiye wakili wake?
Hivi kweli naweza kutumia jina ambalo halijamaliza EVOLUTION?Hahaa Nyani Ngabu bana...ndo nini sasa kujikwoti na kujiongelesha bana[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ahahaaaaaa sasa NN kwa nini unataka kujikana bana?Hivi kweli naweza kutumia jina ambalo halijamaliza EVOLUTION?
Siku usipokuwa na shift ya kulinda usiku unakuwa msumbufu kinoma.....oooh sorry kumbe leo siyo siku ya club.Ahahaaaaaa sasa NN kwa nini unataka kujikana bana?
We mtambo kweli[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nyani Ngabu ooo...CHARMILTON ni Nyani Ngabu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Siku usipokuwa na shift ya kulinda usiku unakuwa msumbufu kinoma.....oooh sorry kumbe leo siyo siku ya club.
Wewe kuwa na ID 1 au 1000 siyo issue kwangu.....kuna watu wengi mno nawafahamu wenye multiple IDs[usiulize nilijuaje].....jambo ambalo kwa upande wangu ni sawa maana sioni tatizo lolote....kwahiyo wewe kusema ID yangu ni yako kama njia ya kuwaziba midomo wanaoku-suspect ni kujichosha bure.Nyani Ngabu ooo...CHARMILTON ni Nyani Ngabu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
SWISME TUHESHIMIANE MKUU !sijawahi kuona mwanamke mwenye wivu kama wewe.wenda mybe strange.
swissme
[emoji3] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Mambo gani tena[emoji15]
Bro ilikuwa inatoa degree hata mtoto(suzan john) wa magufuli kasoma hapo na alikuwa anaongoza hicho kitengoVictoria umepatia...kulikua kuna kakitengo fulani hivi pale Faculty of Science kanahusu kitu kinaitwa "Virtual Learning" na mkuu wake alikua professor mmoja hivi wa Engineering alikua anaitwa Prof BMM Mwinyiwiwa...
Hicho kiprogram kilikua hakichukui waliofaulu form six,walikua wanachukua waliofeli na vi form four failure ni kama Mature Entry hivi na sidhani kama kulikua na kitu "degree" kwenye hiyo kitu...
Yaani huyu dada ni kilaaaza halafu mbwembweee,I really doubt ukweli wa anayosema[emoji23]
Miss Natafuta hakuna nilipoponda hapo, nilikua naconfirm kuwa akileta vyeti vyake wewe utatoa vile vilivokupa usecretary? Au vipo na vingine.MIMI NI SECRETARY NILIKUWA NAMJIBU JAMAA ALOPONDA USECRETARY WANGU MKUU
CHARMILTON ni Nyani Ngabu [emoji23] [emoji23]Wewe kuwa na ID 1 au 1000 siyo issue kwangu.....kuna watu wengi mno nawafahamu wenye multiple IDs[usiulize nilijuaje].....jambo ambalo kwa upande wangu ni sawa maana sioni tatizo lolote....kwahiyo wewe kusema ID yangu ni yako kama njia ya kuwaziba midomo wanaoku-suspect ni kujichosha bure.
Aisee mbn mjinga ww? Ss yy nani kwni? Halafu nikwmbie ki2 kimoja ujue!! Usione anavyoropoka ukazani anaogopewa!! Hajaamuliwa tuu, usione watu wmekaa kimya yy ni mtu mdogo sna tena sna!! Serikali ikimuamulia ni siku kadhaa tuu mbn, just imagine serikali ina jeshi, kodi na mahakama, yy jee? [emoji45] [emoji45] [emoji45]
mange ni muhimu kuliko wewe,post zako na za mange ni mbingu na ardhi.Hivi kwanini hachukuliwi hatua???
Au wanampuuza tu na maujinga yake...
Au kuna kifungu cha sheria kinachomlinda?
Anaejua plz[emoji19]