Ngoja kwanza...wewe unaamini kabisa kuwa hizo picha ni za chupi za Mange na si mtu mwingine?
Vipi kama zimeokotezwa tu kwenye mamitandao huko na kutumika kwa lengo la kumchamba Mange ilhali si za kwake?
Kinachokufanya uuamini huo 'ushahidi' ni nini?
Ulitaka ziwekwe lebo ya jina lake?
Jiulize ni chupi za watu wangapi zimetolewa kwenye picha.
Mnapata faida gani kwa ku entertain ujinga kama huu? Chupi za mtu zikiwa safi au chafu zinaingiza kiasi gani kwenye akaunti yako. Mbona wanawake wa kitanzania mmekuwaa maandazi kiasi hiki?Ulitaka ziwekwe lebo ya jina lake? Jiulize ni chupi za watu wangapi zimetolewa kwenye picha.
Mnapata faida gani kwa ku entertain ujinga kama huu? Chupi za mtu zikiwa safi au chafu zinaingiza kiasi gani kwenye akaunti yako. Mbona wanawake wa kitanzania mmekuwaa maandazi kiasi hiki?
Kama ile faida anayopata mwenye chupi chafu kutukana watoto wa wenzie.
Tunapata faida na riba juu.
Yaaan ukiona mkeo yupo instagram, jipange na ujitathimini mnoooo