Huyu mama kumbe bado yupo??????? Cc. Ms.Lincoln
Madam, nijuze tu, alichobadilika Mheshimiwa ni nini? Au kupanda daladala, kunywa chai Tandale na kujaza nyomi ndio alama za kubadilika kwake?
Hivi hujui au hujafuatilia umafia wa rasilimali uliofanywa na viongozi wa nchi hii akiwemo huyo unayemtetea? Unajua kisa cha kupeleka maji maeneo yenye uchimbaji wa dhahabu kwa wingi kuliko jimboni kwae kipindi alipokuwa waziri wa maji? Unajua madeal yake na yule Mzee asiyemwamini hata Mungu aliyemuumba? Unajua 'genge' lake vizuri? Unajua kwanini anaumwa ugonjwa usiofahamika vizuri chanzo chake? Unajua kwanini pamoja na kuonekana yuko taabani lakin bado anakazania kupambana? Is it for love?
Shida yangu ni kukuuliza, unamjua kweli unayemtetea? Au umevutiwa na kiitikio cha Mabadiliko?!
Watanzania ni watu wa ajabu mno. Hakika tunastahili tuzo! Yaani leo hii unamtetea mtu anayesababisha unalipa umeme kwa gharama za juu na usio na uhakika kwa maslahi yake na watu wake (whoever concerned, hata km na Mkulu yumo) kupitia madili waliyoshirikiana na hao maswahiba wake enzi hizo?!
Hivi unachokiona kwa ndugu huyu ni nia ya dhati kweli ya kuleta hayo mabadiliko yanayoimbwa au ni kuchukua power kulinda maslahi yake na kuwakomesha wakina fulani? You really need some church my sister!!!
Sisapoti anachokifanya Mange, lakini come ooon, have some brains basi, coz huyo unayemsema (Mange) ni kama kichaa aliyekuibia nguo halafu nawe unamkimbiza ukiwa uchi. Hawa jamaa sio wa kuwatetea. Wote ni wash****!
Bora ungemkemea tu Mange kudhihaki afya ya mheshimiwa, lakini usiseme huyo jamaa ame'change, HELL!
WAKE UP TZ!!!
Madam, nijuze tu, alichobadilika Mheshimiwa ni nini? Au kupanda daladala, kunywa chai Tandale na kujaza nyomi ndio alama za kubadilika kwake?
Hivi hujui au hujafuatilia umafia wa rasilimali uliofanywa na viongozi wa nchi hii akiwemo huyo unayemtetea? Unajua kisa cha kupeleka maji maeneo yenye uchimbaji wa dhahabu kwa wingi kuliko jimboni kwae kipindi alipokuwa waziri wa maji? Unajua madeal yake na yule Mzee asiyemwamini hata Mungu aliyemuumba? Unajua 'genge' lake vizuri? Unajua kwanini anaumwa ugonjwa usiofahamika vizuri chanzo chake? Unajua kwanini pamoja na kuonekana yuko taabani lakin bado anakazania kupambana? Is it for love?
Shida yangu ni kukuuliza, unamjua kweli unayemtetea? Au umevutiwa na kiitikio cha Mabadiliko?!
Watanzania ni watu wa ajabu mno. Hakika tunastahili tuzo! Yaani leo hii unamtetea mtu anayesababisha unalipa umeme kwa gharama za juu na usio na uhakika kwa maslahi yake na watu wake (whoever concerned, hata km na Mkulu yumo) kupitia madili waliyoshirikiana na hao maswahiba wake enzi hizo?!
Hivi unachokiona kwa ndugu huyu ni nia ya dhati kweli ya kuleta hayo mabadiliko yanayoimbwa au ni kuchukua power kulinda maslahi yake na kuwakomesha wakina fulani? You really need some church my sister!!!
Sisapoti anachokifanya Mange, lakini come ooon, have some brains basi, coz huyo unayemsema (Mange) ni kama kichaa aliyekuibia nguo halafu nawe unamkimbiza ukiwa uchi. Hawa jamaa sio wa kuwatetea. Wote ni wash****!
Bora ungemkemea tu Mange kudhihaki afya ya mheshimiwa, lakini usiseme huyo jamaa ame'change, HELL!
WAKE UP TZ!!!
Hata kama alileta maji kwa interest zake but at least He was not selfish coz hadi leo huduma ya maji inaendelea na tatizo la maji ni historia hapa mkoani kwetu.
Hata kama alipiga madeal hiyo ni akili yake na malupulupu kwa nafasi yake,mengine kumuhusu anajua MUNGU....let us not judge others just bcoz they sin different from us!
Hata hivyo it's H
His right to vote and to be voted kama mna ushahidi wa yote hayo mpelekeni mahakamani,Membe mshamsahau wal hakuna anayemzungumzia kutwa Lowassa mwacheni Mzee azeeke kwa amani
No more comment, you are blinded. May be you're too sympathetic, I can not judge u dear! But remember he's asking for the biggest office, so we must question him!! The right to be voted goes hand in hand with being questioned of your deeds!
Tanzanians do not read, do not do follow-ups, do not connect dots, the worst of it all, DO NOT TAKE PROPER ACTIONS BECAUSE THEY CAN'T MAKE OBLIGATORY DECISIONS!
What I see is some desperate souls trying to hold a straw to escape from drowning!
Of all people, Lowassa? Really?!!!! You guys go consult a psychiatrist!!!!
No more comment, you are blinded. May be you're too sympathetic, I can not judge u dear! But remember he's asking for the biggest office, so we must question him!! The right to be voted goes hand in hand with being questioned of your deeds!
Tanzanians do not read, do not do follow-ups, do not connect dots, the worst of it all, DO NOT TAKE PROPER ACTIONS BECAUSE THEY CAN'T MAKE OBLIGATORY DECISIONS!
What I see is some desperate souls trying to hold a straw to escape from drowning!
Of all people, Lowassa? Really?!!!! You guys go consult a psychiatrist!!!!
Lowasa is our next prezdaaa...kama hupendi kale malimao.
That's ur perception bro,it was His dream to become a president of Tanzania kwani vibaya mtu kufight for ur dreams?!
Tangu ajiuzulu mbona umaskini umezidi,rushwa,madawa ya kulevya na mengine mengi tu kutokana na mfumo huu uliopo hata akiingia madarakani tutatimiza ilani ya CDM / UKAWA so I dor worry on that
Ukilala ukiamka, ukila ukishiba, ukinya ukimaliza basi utaanza kuwasema UKAWA.
Back to the point, Lowassa wa leo si Lowassa wa miaka 8 iliyopita, you are judging the different person. As u know people change, every saint got a past and every sinner has a future, only God can judge us all coz anaona zaidi ya macho ya binadamu, he looks at the heart!!
Kama Mungu ameamua Lowassa awe rais wa Tz na atakuwa tu, kama wewe na ndgu zako CCM mngekuwa na ushahidi mngemshtaki since then sio mnatoa povu leo, no prove no right to say, watch your moves mwanamke.
Jinsi unafatilia ya UKAWA surely u must be our Biggest Fan, ila unafki unakusumbua. Halafu uwe na adabu, Lowassa ni kama Baba yako kumdhalilisha hivyo utalaaniwa zaidi ya hapo.
Mange u don't look good when u make others look bad,coz maneno yako toward Him they reflect urself,dats y ulishindwa na ubunge, jiulize why ulishindwa! You are not good enough for our country. Halafu ni njaa tu zinakusumbua ubunge ungekuwa wa kujitolea bila pesaaa ungetoka USA kuja kugombea!
Shame on u, mxieeeww..
Kila mtu ana mazuri na mabaya,mazuri ya Lowassa kwangu alituletea maji ya ziwa Victoria mkoani kwetu alipokuwa waziri wa maji,kuhusu richmond nilisikia wala sikuoneshwa ushahidi wa huo ufisadi
Tunamtaka ivo ivo, na usheitwani wake.
Ndo maana hatoweza kuwa Rais sababu ya wa type kama yako. Watu wa Type yako ndo wanafanya kina Mzee OR wasimamie mchakato maana bila hivyo ni disaster..
Anakera sana, u noe usiwafanyie watu usiyopenda kufanyiwa anamsema sana huyu Baba,hivi angekuwa ni baba ake ye angejisikia vizuri no matter da reason, mafisadi wangapi hawaoni kila kukicha Lowassa, hawaoni kina chenge,tibaijuka,na wengi tu mafisadi wamepita kura za maoni za ccm ila kakazana tu Lowassa
Madam, nijuze tu, alichobadilika Mheshimiwa ni nini? Au kupanda daladala, kunywa chai Tandale na kujaza nyomi ndio alama za kubadilika kwake?
Hivi hujui au hujafuatilia umafia wa rasilimali uliofanywa na viongozi wa nchi hii akiwemo huyo unayemtetea? Unajua kisa cha kupeleka maji maeneo yenye uchimbaji wa dhahabu kwa wingi kuliko jimboni kwae kipindi alipokuwa waziri wa maji? Unajua madeal yake na yule Mzee asiyemwamini hata Mungu aliyemuumba? Unajua 'genge' lake vizuri? Unajua kwanini anaumwa ugonjwa usiofahamika vizuri chanzo chake? Unajua kwanini pamoja na kuonekana yuko taabani lakin bado anakazania kupambana? Is it for love?
Shida yangu ni kukuuliza, unamjua kweli unayemtetea? Au umevutiwa na kiitikio cha Mabadiliko?!
Watanzania ni watu wa ajabu mno. Hakika tunastahili tuzo! Yaani leo hii unamtetea mtu anayesababisha unalipa umeme kwa gharama za juu na usio na uhakika kwa maslahi yake na watu wake (whoever concerned, hata km na Mkulu yumo) kupitia madili waliyoshirikiana na hao maswahiba wake enzi hizo?!
Hivi unachokiona kwa ndugu huyu ni nia ya dhati kweli ya kuleta hayo mabadiliko yanayoimbwa au ni kuchukua power kulinda maslahi yake na kuwakomesha wakina fulani? You really need some church my sister!!!
Sisapoti anachokifanya Mange, lakini come ooon, have some brains basi, coz huyo unayemsema (Mange) ni kama kichaa aliyekuibia nguo halafu nawe unamkimbiza ukiwa uchi. Hawa jamaa sio wa kuwatetea. Wote ni wash****!
Bora ungemkemea tu Mange kudhihaki afya ya mheshimiwa, lakini usiseme huyo jamaa ame'change, HELL!
WAKE UP TZ!!!