Mange, you don't look good by making others look bad, jitathmini!

Narudia tena...tunamtaka ivo ivo na usheitwan wake.
Kama nakukera saga chupa unywe.
Watu type yangu tushachoshwa na utawala wa kifalme wa CCM.Alafu tupo wengi sana.
teh teh teh you are very funny....Mi ninywe sumu sababu ya mtu wa jamii forums aliyejificha nyuma ya screen na keyboard?Basi Itakuwa ajabu la nane la dunia..You make me laugh with your conviction....Hebu rudia tenaaa...Ndoto yako ya matumaini nimeipenda...Ningekuwa nina uwezo ningekupa like hamsini ila JF like moja to kwa mtu mmoja kwa comment moja. Lakini kibaya ni kwamba wewe ni "too innocent" kuujua ukwelii..teh teh teh. Na ni vizuri kutoujua ukweli sababu unakuzuia wewe kuzurika na mambo mengii. Na kawaida ya watu innocent huwa wanadhani moja jumlisha moja jawabu lake mbili..Laiti ungejua tatu pia inaweza ikawa jawabuu ungepata stress tu bure.." Umenisomaaaa?????? Ovaaa
 

Ukimaliza kumnyonga, usimnyime na haki yake, sawa? Mange na utaahira wake wote anajipambanua kuchukia unyonyaji wa aina yeyote. Kama ni mfuatiliaji mzuri utagundua harakati zake kuhusu wanaofanya biashara ya madawa ya kulevya. Huyu manzi si kipofu wala zumbukuku wa kufuata chama bali huwachambua na kuwapa makavu hata hao viongozi wa CCM ambao wanapiga dili chafu.

Mara ngapi anamsakama February? Hujamsikia akimpigia kampeni kada wa ACT anayegombea Kinondoni badala ya Idd Azzan mwanaCCM mwenzake? Ushajiuliza ni kwanini?

Hakuanza leo na EL, alianza muda mrefu kumcriticize tangu hata hakuhamia UKAWA (Na pengine wakati huo ulikuwa unachekelea kweli)..

Tuacheni unafiki. Tupende vitu kwa mashiko.
 
ila Mange anajua kuelezea mambo akiamua

sijui uchaguzi ukiisha ataanzia nani au nani maana lazima habari za kuumiza watu kwake ziendelee

kwa uchaguzi hapo uamuzi ni wa wananchi mwisho wa siku

I guess angemsema mgombea wa ccm, nao wangemtukana pia na kumpa maneno yao.
 

Naona wewe ndiye yule anayemkimbiza chizi aliyekuibia nguo zako ukiwa uchi kwasasa. Umeshafahamu watanzania tunamatatizo ya akili na tumechagua mtu wa hovyo,unahangaika nasi ili iweje?!! Ushachelewa ndege ndugu,wewe njoo na basi lako tukutane mbele ya safari. Wote ni washenzi kama ulivyosema awali,sasa tusichague hata katika hao washenzi?!!
 

umenena,
this girl is sooo stupid, sijawahi kuona mtu asiyejimbua kama mange, kwanza the way she potray a message towards something anadhihirisha kwamba aidha ana chuki juu ya mtu au ana personal interest, she never focus into reality, huyu binti amejaa chuki sijawahi kuona, anajiona yeye ndio perfect in everything, kutwa kucha kujadili personal issues za watu,ndoa za watu,maisha binafsi ya watu,rafiki zake, kiukweli anajiaibisha,

ana image mbaya sana mbele za watu kutokana na aina yake ya uandishi na chuki za mitandaoni,wakati mwingine huwa nadhani ni mtu ambae hana shughuli za kufanya, how comes mtu unapata muda wa kujadili watu?

she really needs to change, ndoa yake ipo mashakani kwa sababu ya tabia zake
 

Another lost soul! Mahaba niue. Kwahiyo huyo mzee ndio afadhali? Kwa kazi ipi aliyowahi ifanya akiwa W/Mkuu zaidi ya kushirikiana na wenzie kuwaumiza? Tatizo vijana hamfuatilii mambo, mnasombwa na mihemuko tu!

Angalia marafiki/watu wa karibu ya huyo mnayemwona afadhali kisha tafakari!
Waneni hawakukosea pale waliposema "Show me your friends and I'll tell you who you are". Gwajima? Rost? Kingu?

Duh! Haya. Kila la heri!!!!
 
Mwache aongee tutasema na ya kwao na story za Mzee wake maana anajifanya mdomo mrefu tukitoa ya kwao hata amini tunayajua sana ya Mzee wako

babke alifi************rwa
 

nashanga, huyo kabaki kusema watanzania wajinga, sasa kama yeye ni mchina ya tanzania ynamuhusu nini atuache ahangaike na ya uchine,mwanaharamu huyo hajitambui, nadhani atakua ni mange huyo
 
nashanga, huyo kabaki kusema watanzania wajinga, sasa kama yeye ni mchina ya tanzania ynamuhusu nini atuache ahangaike na ya uchine,mwanaharamu huyo hajitambui, nadhani atakua ni mange huyo

Yamekuwa hayo mdada? Na NameCalling juu?

Mods plzzzz.. do the needful!
 
hivi blog yake sasa mbona siipati kuna tatizo gani? nijionee kwa macho.
 
mbona ya baba yake kuliwa kiboga mpaka kujiua hasemi au anafikri watu hawajui. Au mpaka iwekwe clip humu jamvini watu waangalie ndiyo atafunga mdomo.
 

Unajifanya mtu wa system kuyajua mengi!
Hainisaidii kwa sasa.. dumb or Not, innocent or Not.
Nitamchagua Lowassa.
Narudia tena mimi mtu wa JF nipo nyuma ya keyboard, nayajua machache, ni Mtanzania nimeichoka CCM.
Saga chupa shushia na whiskey.
 
mbona ya baba yake kuliwa kiboga mpaka kujiua hasemi au anafikri watu hawajui. Au mpaka iwekwe clip humu jamvini watu waangalie ndiyo atafunga mdomo.

tatizo nyani huwa haoni kundule, mange anapenda kuongea ya watu wakati ya kwake kibao tunayajua, ndoa yenyewe huko ishamshinda,mzungu kachoka tabia zake,mange anafanya kulazimisha ndoa,watu tunajua ila tumenyamaza, sasa yeye kila kukicha ni kuattack watu,huyu akili zake nadhani zipo kwenye chupi au yupo na depression inayomfanya awe na hizo tabia za kijinga
 

Ndo tushaamua kumsamehe na tuko tayar kuendelea kulala mpk oct25 tutakapoamka na kumpa kura za kishindo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…