Vijana wa Tanzania ni mbumbumbu kama nyumbu. Hawajui wanachokitaka kutoka UKAWA. Ingekuwa Ukawa ya Dr Slaa na akina Lissu na Halima Mdee na John Mnyika ningewaelwa. Lakini unasema unataka mabadiliko kwa kuongozwa na Lowassa na Sumaye, ambao kwa miaka 12 ndiyo walikuwa wanasimamia utekelezaji wa sera za CCM. Huo ni upumbavu
Ila kwenye ukweli tumpe vigelegele mwanamke huyu Mange Kimambi anajitahidi sana kwenye kukampenia CCM ( Chama cha Mapinduzi).
Niliachaga kusoma mambo take wiki iliyopita nikakutana na post take ndio karusha, so knajua tena ukiwa una folo watu mamia au maelfu unavyowezwa pitwa.
Nikafungua nikakuta page yake duh kijani na njano tu rangi...
Anapamba maneno na kuelewesha ujue kinachoendelea huko kwenye vyama vya upinzani kwa yoteeeeee
Kokote kwenye viburudisho niiteni nisome mie, tunaishi na uhai mmoja.
Sema Haleluyah...Amen.
So you are the one who is sane and not blind, tell us, why do you think Magufuli is any different? We had Kikwete for 10 years and he and his family have fleeced the country and we are now deep in debt as a nation. So tell us, since you are the one with eyes that can see, how do you think Magufuli is going to stop Kikwete and his family and friends from carrying on where they started? How is he going to stop a system that has given him the post? Lowassa isnt clean but hey i think he is the devil we prefer this time around.
kwa hiyo wewe usiye mbumbumbu utaipigia kura CCM ambako ndio kiwanda cha hawa kina Lowassa ili upate hayo mabadiliko? Okay, una akili nyingi sana, nyingi sana...:A S shade:
Ni afadhali kumpatia simba aliyeshiba kuliko kumpatia simba wenye njaa(UKAWA)
Kwa hiyo tuendelee kuiamini CCM mbovu na sio walio jitenga na CCM mbovu. You are a p*g and your brain is dead.Vijana wa Tanzania ni mbumbumbu kama nyumbu. Hawajui wanachokitaka kutoka UKAWA. Ingekuwa Ukawa ya Dr Slaa na akina Lissu na Halima Mdee na John Mnyika ningewaelwa. Lakini unasema unataka mabadiliko kwa kuongozwa na Lowassa na Sumaye, ambao kwa miaka 12 ndiyo walikuwa wanasimamia utekelezaji wa sera za CCM. Huo ni upumbavu
No more comment, you are blinded. May be you're too sympathetic, I can not judge u dear! But remember he's asking for the biggest office, so we must question him!! The right to be voted goes hand in hand with being questioned of your deeds!
Tanzanians do not read, do not do follow-ups, do not connect dots, the worst of it all, DO NOT TAKE PROPER ACTIONS BECAUSE THEY CAN'T MAKE OBLIGATORY DECISIONS!
What I see is some desperate souls trying to hold a straw to escape from drowning!
Of all people, Lowassa? Really?!!!! You guys go consult a psychiatrist!!!!
Kwa hiyo unatakaje? Isikute unamfagilia huyo ambae hata si tunawashangaeni kiasi kwamba haya uliyoyaandika uyageuzie kwako. Mnamjua vizuri huyo mnayemshadadia! Kila mtu afanye kama akili yake inavyomtuma na si kutumia nguvu nyingi kutaka kubadilisha mawazo ya watu wengi walioamua, atakayeshinda kihalali basi atakuwa ameshinda
Tatizo ni upotoshaji. We doubt EL because he can't be trusted..
What did he do to JKN? Find info's dear..
Madam, nijuze tu, alichobadilika Mheshimiwa ni nini? Au kupanda daladala, kunywa chai Tandale na kujaza nyomi ndio alama za kubadilika kwake?
Hivi hujui au hujafuatilia umafia wa rasilimali uliofanywa na viongozi wa nchi hii akiwemo huyo unayemtetea? Unajua kisa cha kupeleka maji maeneo yenye uchimbaji wa dhahabu kwa wingi kuliko jimboni kwae kipindi alipokuwa waziri wa maji? Unajua madeal yake na yule Mzee asiyemwamini hata Mungu aliyemuumba? Unajua 'genge' lake vizuri? Unajua kwanini anaumwa ugonjwa usiofahamika vizuri chanzo chake? Unajua kwanini pamoja na kuonekana yuko taabani lakin bado anakazania kupambana? Is it for love?
Shida yangu ni kukuuliza, unamjua kweli unayemtetea? Au umevutiwa na kiitikio cha Mabadiliko?!
Watanzania ni watu wa ajabu mno. Hakika tunastahili tuzo! Yaani leo hii unamtetea mtu anayesababisha unalipa umeme kwa gharama za juu na usio na uhakika kwa maslahi yake na watu wake (whoever concerned, hata km na Mkulu yumo) kupitia madili waliyoshirikiana na hao maswahiba wake enzi hizo?!
Hivi unachokiona kwa ndugu huyu ni nia ya dhati kweli ya kuleta hayo mabadiliko yanayoimbwa au ni kuchukua power kulinda maslahi yake na kuwakomesha wakina fulani? You really need some church my sister!!!
Sisapoti anachokifanya Mange, lakini come ooon, have some brains basi, coz huyo unayemsema (Mange) ni kama kichaa aliyekuibia nguo halafu nawe unamkimbiza ukiwa uchi. Hawa jamaa sio wa kuwatetea. Wote ni wash****!
Bora ungemkemea tu Mange kudhihaki afya ya mheshimiwa, lakini usiseme huyo jamaa ame'change, HELL!
WAKE UP TZ!!!
Huna info yoyote but you want us to doubt him, based on what? Now you are even insinuating he did something to JKN. But I bet you won't explain that either, we just have to trust you eeh?....Pathetic.
Mkuu interest magufuli naye unamjua vizuri?
Why did JKN refute Ngoyai's application for presidency in 1995? At least you may have some piece of info about what happened then in vengeance to that..
Call it 'conspiracy'!