Mangi aingizwa cha jiji

Hakika msukuma anamrudia na panga labda ahame kabisa.

Kuna jamaa alitaka kunitapeli aniuzie dhahabu fake sijui wale watu huwa wanajua vipi kuwa utakuwa na hela..
Maelezo yalikuwa akanionyesha ile dhahabu pasipo kujua nami ni muhuni kuzidi yeye nikamwambia hapa sina hela kabisa nina 30k tu ila nyumbani nina milioni4 na sio mbali naomba twende maana naishi geto pekee yangu.

Akaniambia una uhakika unaishi mwenyewe nikamkubalia ..... muda ule nilikuwa naenda bank nina m23 kwenye begi na geto nilikuwa na ishi na msela angu mtata baraa yaani kwenye madhali basi umefika kabisa.

Tukaongozana na jamaa tapeli hadi geto nikazama ndani yeye akawa anamashaka kuingia nikamwambiaa njoo

muda huo jamaa kalala ilikuwa saa2 asubuhi. jamaa akawa na wasiwasi kuingia.Badae akaingia nikazama ndani nikamwambia mshikaji njoo tupige mtu hapa... mshikaji alitoka na boxer tunikiwa na uhakika wa pesa zangu zipo salama. yule tapeli tulimpiga hadi akaanza kupiga yowe mwenyewe akiomba msaada. watu wakaja nikaanza kueleza

Ilivyokuwa badala kupewa msaada kipigo kikawa zaidi tukio likawa kubwa hadi police wakaja kapigika mnoo na kesi tumeshaiuza kwa wengine walio ta-peliwa kwa style ile watu wa namna ile wanapiga acha kabisa.
 
Ki ufupi HAKUNAGA HELA ZA MAJINI ni msemo tu wa kijinga kuarika ama kuficha wahuni waliopata pesa
 
Kumbe kuna wanawake nao huwa natamaa kama hz
 
 
Kumbe kuna wanawake nao huwa natamaa kama hz
Tena kwa huyu mama yangu haya aliyafanya baada ya kufiwa mmewe huku washauri wake wakuu wakiwa ni binti zake.
Nilichokiona kwa huyu mama yangu ni kuwa alitamani ahame kwani mmewe alipofariki ukabila ulitamalaki kwakuwa hawakuwa kabila moja.

Lkn hawa watoto wake iliwajaa tamaa ya kutajirika ili watambe kitaa kwani hata wao ni miongoni mwa watu waliokuwa wakimzonga mama yao kuwa wamekua,yeye asepe tu wao wakafanye zao biashara.
 
Huyu nae kaabisha Chama
 
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Wapare sio mabwege๐Ÿ™Œ๐Ÿฟ๐Ÿ™Œ๐Ÿฟ๐Ÿƒ๐Ÿฟ๐Ÿƒ๐ŸฟView attachment 3170028
Hapa Mbezi Makonde kuna Mzee akiitwa Mlay alikuwa anafanya kazi Wazo Hill Cement na alistaafu miaka ya mwanzoni mwa 2000. Alikuwa amejenga nyumba ya gorofa kwenye plot ya nusu ekari. Kwenye miaka ya 2010 aliuza nyumba yote kwa Milioni 800. Kisha wanae wawili binti na mvulana akiwa anafanya kazi TCC wakalubaliana na baba kuwa baada ya kupokea zile fedha wazipeleke kwa mtaalamu akazirudufu mara 2 yaani iwe Bilioni 1.6.

Alifanya kama huyo mchagga zikawekwa kwenye TRANKA. Walipofika nyumbani wakakuta ni makaratasi. Hapa ninapoongea Mzee na mkewe wamerudi Tegeta kwenye kinyumba chao kingine lakini Mzee Mlay memory inakata. Kuna siku alikutwa Kimara Mbezi akiwa anatembea kwa mguu kwenda Moshi
 
Kuna mwana JF mwenzetu alitapeliwa milion 32 tasilimu maana 2020 nadhani kule Morogoro aliuza hadi nyumba yake nakumbuka.
Kama yupo hapa na anausoma huu uzi kwa ruhusa yake nitasimulia A to Z kilichompata.. Naye ni huu huu utajiri wa begi
Mkuu tupe huo mkasa tujifunze japo wajinga hatuishagi๐Ÿ˜†
 
Kati ya watu rahisi kuwatapeli basi ni wachaga, hao watu sio nahili.

Ukimpanga vizuri haoni kazi kukupa ela umfanikishie jambo lake haramu.
 
Alifanya kama huyo mchagga zikawekwa kwenye TRANKA. Walipofika nyumbani wakakuta ni makaratasi. Hapa ninapoongea Mzee na mkewe wamerudi Tegeta kwenye kinyumba chao kingine lakini Mzee Mlay memory inakata. Kuna siku alikutwa Kimara Mbezi akiwa anatembea kwa mguu kwenda Moshi๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ