Tetesi: Mangungu akataa kujiuzulu nafasi yake Simba SC

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Katika kikao kilichofanyika Juzi Jumamosi, Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu alishauliwa kujiuzulu katika nafasi hiyo, lakini hadi muda huu ameshikilia msimamo wa kutokuachia ngazi katika nafasi hiyo.

[emoji3514]Nb: Hatoki mtu hapa[emoji23][emoji23]
 
Baada ya Shetani kugundua kuwa siku hizi mapenzi haumizi tena kama zamani ndio akaja na mbinu nyingine ya kutuletea Simba SC Club na Arsenal FC
 
Uto...mbona mnahangaika Sana na Simba?...au maji ya kwenye vidimbwi yamekuwa ya moto ?
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.
 
Baada ya Shetani kugundua kuwa siku hizi mapenzi haumizi tena kama zamani ndio akaja na mbinu nyingine ya kutuletea Simba SC Club na Arsenal FC
Bila kusahau man u

Sema nilichogundua ni jezi nyekundu zna mikosi
 
Bado hawajasema [emoji23]
 
Ajihuzuru aende wapi ,wewe ndio utalea familia yake [emoji3447][emoji16][emoji23]pesa atatoa wapi ....Fala kweli ,wewe mbona hujajihuzuru kazin kwako[emoji23]
 
We kiumbe ni mpumbavu sana alfu upumbavu sio tusi ila wewe ni mpumbavu mno!

Kila uzi umeandika upumbavu wako huu
 
Ajihuzuru aende wapi ,wewe ndio utalea familia yake [emoji3447][emoji16][emoji23]pesa atatoa wapi ....Fala kweli ,wewe mbona hujajihuzuru kazin kwako[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]ni ngumu
 
Safi sana Mwenyekiti wetu,shikilia msimamo huo huo sababu anaetakiwa kujiuzulu ni Mwamedi na si wewe. Mwamedi kazoea sasa,kipindi kile Nkwabi alijiuzulu lakini hakuna mabadiliko yoyote tuliyoyaona.
Mudi ndo mwenye simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…