Mangungu anataka kuisambaratisha Simba kwa kumfungia Dr Mohamed na Aggy Simba

bahatibahati

Member
Joined
Jul 4, 2023
Posts
44
Reaction score
84
Mangungu Hana jema Simba SC, mashabiki na wanachama msipotulia na kujua lengo la huyu mwamba mangungu timu inaenda kusambaratika vipandevipande.
Huyu mangungu katumwa na kikosi kazi Cha GSM Ili aisambaratishe simbea kwa kuahidiwa donge nono takriba ten billion mbili.
Huyu jamaa hawezi jiuzulu BILA kuitisha mkutano wa dharura wa kumpiga chini.


MANGUNGU HAFAI HAFAI HAFAI
 
Comments reserved
 
Aliçhaguliwa na wanachama na muda wake bado haujaisha, kwa nini aondoke. Mangungu asikubali shinikizo la kikundi kidogo cha wahuni wanaotaka kumng'oa kama mhogo.
 
Kwahiyo sikuhizi utaratibu wa kuchagua viongozi mmebadilisha, badala yake GSM ndiye anayewateulia viongozi wenu? Yaani mmegeuka mazuzu mnashindwa kufikiria kwa mapana mapungufu yenu unakuja kulalamikia GSM wakati Mangungu kachaguliwa kwa kupigiwa kura na wanachama wa Simba.

Kukamatwa kwa huyo Aggy Simba, je una uhakika Mangungu ndio aliyeamrisha hilo jambo?
 
Pitia hii link una la kujifunza
 
Mashabiki wa simba ni mbumbumbu,mo dewji anaenjoy kutokana na ujinga wenu,Tatz la simba ni utapeli wa Mo dewji,mbona hamuelewi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…