OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kwa takribani saa 48 sasa kuna mambo kibao yanaendelea ndani ya Simba.
Tajiri Mohamed Dewji ‘MO’ ameingia msituni mwenyewe. Ameamua kufumua kitu kimoja baada ya kingine kwa vitendo katika kuhakikisha Simba inakuwa moto wa kuotea mbali msimu ujao na kurejesha heshima ambayo imepoteza katika misimu mitatu mfululizo iliyopita.
Presha ya kujiuzulu inawakabili pia wajumbe wa bodi ya wakurugenzi akiwemo Mwenyekiti, Murtaza Mangungu ambao hawakuteuliwa na Dewji lakini kutokana na kutokuwa na mamlaka ya kikatiba,
Mpira huo umeachwa kwa wanachama kuamua wakati wa mkutano mkuu wa klabu hiyo. Upande huu wanachama walikuwa Seif Muba, Asha Baraka, Issa Masoud, Rodney Chiduo na Seleman Haroub na Mangungu.
Tajiri Mohamed Dewji ‘MO’ ameingia msituni mwenyewe. Ameamua kufumua kitu kimoja baada ya kingine kwa vitendo katika kuhakikisha Simba inakuwa moto wa kuotea mbali msimu ujao na kurejesha heshima ambayo imepoteza katika misimu mitatu mfululizo iliyopita.
Presha ya kujiuzulu inawakabili pia wajumbe wa bodi ya wakurugenzi akiwemo Mwenyekiti, Murtaza Mangungu ambao hawakuteuliwa na Dewji lakini kutokana na kutokuwa na mamlaka ya kikatiba,
Mpira huo umeachwa kwa wanachama kuamua wakati wa mkutano mkuu wa klabu hiyo. Upande huu wanachama walikuwa Seif Muba, Asha Baraka, Issa Masoud, Rodney Chiduo na Seleman Haroub na Mangungu.