Mangungu ni Kama Yesu wa Nazaleth aliyekubali kubeba dhambi (uozo) wa jopo la viongozi pale Msimbazi

Mangungu ni Kama Yesu wa Nazaleth aliyekubali kubeba dhambi (uozo) wa jopo la viongozi pale Msimbazi

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Kurusha mawe kwa Mangungu ni kupoteza muda tu, hata ikitokea kajiuzulu Mambo yatakua hivyo hivyo tu.

Mangungu anatumika ana watu nyuma ya Pazia Hana sauti na Hana uwezo wowote wa kupambana na jopo lililo nyuma ya Pazia, jopo hili lilimpambania kwenye uchaguzi wa mwenyekiti mpaka akapata kiti.

Jopo hili lilifanikiwa kumleta Manzoki, liligaramia Gharama zote mpaka Manzoki akafika dar na kuwadanganya mashabiki wa Simba sc, Mangungu alitumika Kama ngazi tu na ninadhani kabisa hiki kinamtesa katika nafsi yake.

Jopo hili ndiyo linasimamia usajili wa wachezaji Kocha Hana Mamlaka ya kutaka wachezaji anaowataka yeye na ndiyo mamana baada ya kelele za Mashabiki hili jopo liliamua kuajili skauti wa kuzuga lakini nyuma ya Pazia skauti Hana kazi yoyote.

Jopo hili lipo kimasilahi zaidi (ten percent) linatengeneza pesa /linaingiza pesa kupitia wachezaji liliowachagua sokoni.

Jopo hili linalinda brand ya boss mkuu (Mo Dewj) na siyo brand ya timu (Simba sc) na ndiyo Maana matangazo yamezagaa kwenye jezi yote ya Simba sc bila kujali lolote.

Maoni Yangu: Wanasimba hawapaswi kumpiga mawe Mangungu Kwan Mangungu hatoi pesa za usajili, Mangungu hachezu uwanjani, wanasimba wanapaswa kuangalia uongozi wa juu ndiyo Umejaaa Madudu.

#FreeMangungu.
 
Ukishabikia sana simba na yanga Automatically kichwani zinaanza kulegea.

Nawasihi sana watanzania wenzangu, Hizo timu ni mtego wa kisiasa wa propaganda za Dola.

Msipoteze sana Muda kwenye mambo za simba na yanga.

MWENYE MASIKIO YA KUSIKIA NA ASIKIE
 
Ukishabikia sana simba na yanga Automatically kichwani zinaanza kulegea.

Nawasihi sana watanzania wenzangu, Hizo timu ni mtego wa kisiasa wa propaganda za Dola.

Msipoteze sana Muda kwenye mambo za simba na yanga.

MWENYE MASIKIO YA KUSIKIA NA ASIKIE
POLE SANA MAMA USHAURI [emoji2935]
 
Kurusha mawe kwa Mangungu ni kupoteza muda tu, hata ikitokea kajiuzulu Mambo yatakua hivyo hivyo tu.

Mangungu anatumika ana watu nyuma ya Pazia Hana sauti na Hana uwezo wowote wa kupambana na jopo lililo nyuma ya Pazia, jopo hili lilimpambania kwenye uchaguzi wa mwenyekiti mpaka akapata kiti.

Jopo hili lilifanikiwa kumleta Manzoki, liligaramia Gharama zote mpaka Manzoki akafika dar na kuwadanganya mashabiki wa Simba sc, Mangungu alitumika Kama ngazi tu na ninadhani kabisa hiki kinamtesa katika nafsi yake.

Jopo hili ndiyo linasimamia usajili wa wachezaji Kocha Hana Mamlaka ya kutaka wachezaji anaowataka yeye na ndiyo mamana baada ya kelele za Mashabiki hili jopo liliamua kuajili skauti wa kuzuga lakini nyuma ya Pazia skauti Hana kazi yoyote.

Jopo hili lipo kimasilahi zaidi (ten percent) linatengeneza pesa /linaingiza pesa kupitia wachezaji liliowachagua sokoni.

Jopo hili linalinda brand ya boss mkuu (Mo Dewj) na siyo brand ya timu (Simba sc) na ndiyo Maana matangazo yamezagaa kwenye jezi yote ya Simba sc bila kujali lolote.

Maoni Yangu: Wanasimba hawapaswi kumpiga mawe Mangungu Kwan Mangungu hatoi pesa za usajili, Mangungu hachezu uwanjani, wanasimba wanapaswa kuangalia uongozi wa juu ndiyo Umejaaa Madudu.

#FreeMangungu.
Acha ukafiri wako wa kumfananisha Yesu na vitu vya ajabu.
 
Kurusha mawe kwa Mangungu ni kupoteza muda tu, hata ikitokea kajiuzulu Mambo yatakua hivyo hivyo tu.

Mangungu anatumika ana watu nyuma ya Pazia Hana sauti na Hana uwezo wowote wa kupambana na jopo lililo nyuma ya Pazia, jopo hili lilimpambania kwenye uchaguzi wa mwenyekiti mpaka akapata kiti.

Jopo hili lilifanikiwa kumleta Manzoki, liligaramia Gharama zote mpaka Manzoki akafika dar na kuwadanganya mashabiki wa Simba sc, Mangungu alitumika Kama ngazi tu na ninadhani kabisa hiki kinamtesa katika nafsi yake.

Jopo hili ndiyo linasimamia usajili wa wachezaji Kocha Hana Mamlaka ya kutaka wachezaji anaowataka yeye na ndiyo mamana baada ya kelele za Mashabiki hili jopo liliamua kuajili skauti wa kuzuga lakini nyuma ya Pazia skauti Hana kazi yoyote.

Jopo hili lipo kimasilahi zaidi (ten percent) linatengeneza pesa /linaingiza pesa kupitia wachezaji liliowachagua sokoni.

Jopo hili linalinda brand ya boss mkuu (Mo Dewj) na siyo brand ya timu (Simba sc) na ndiyo Maana matangazo yamezagaa kwenye jezi yote ya Simba sc bila kujali lolote.

Maoni Yangu: Wanasimba hawapaswi kumpiga mawe Mangungu Kwan Mangungu hatoi pesa za usajili, Mangungu hachezu uwanjani, wanasimba wanapaswa kuangalia uongozi wa juu ndiyo Umejaaa Madudu.

#FreeMangungu.
yaani mpk waseme shikamoo Yanga
 
Back
Top Bottom