Tumeshtuka huyu ni pandikizi lililowekwa na kiongozi mkubwa mmoja mstaafu ili aidukue Simba kwenye mechi zake na Yanga.
Huyu mzee ni jeuri na haumizwi na matokeo ya Simba.
Mwenzake "jaribu tena" ni mpigaji tu hana lolote.Hawa wote hawana aibu ndio maana hawawezi kujiuzulu.
Simba haiwezi kuwa timu ya kufungwa fungwa na vitimu vya daraja la chini.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Huyu mzee ni jeuri na haumizwi na matokeo ya Simba.
Mwenzake "jaribu tena" ni mpigaji tu hana lolote.Hawa wote hawana aibu ndio maana hawawezi kujiuzulu.
Simba haiwezi kuwa timu ya kufungwa fungwa na vitimu vya daraja la chini.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app