Kwa muda mrefu Nimekuwa nikisikia toka kwa wanawake kadhaa kuwa MANII/SH@H@W@ ni uchafu. Nimejaribu kutafuta uchafu wa manii sijauona. Lakini linalonishangaza zaidi ni kuwa mwanamke akisikia mwanaume wake ana mwanamke mwingine inakuwa ugomvi mkubwa. Swali iwapo manii ni uchafu kwanini wanaulinda uchafu huo kwa gharama Kubwa sana.
wanaMMU (Lizzy, Smile, KONGOSHO etc) naombeni msaada wenu.
Bazazi ni Bazazi
unapoomba msaada dont try to mention people wa kukupa msaada otherwise watu hawatotoa maoni yao kwa kuwa umetaja watu wakukupa msaada!!!!, kuna watu ambao si wana MMU au miongoni mwa hao uliowataja wanamaoni mazuri zaidi lakini watasindwa kukupa msaada,
kumbuka kuwa thread yako haitakuwa posted only in MMU bali itapatikana pia katika uwanja wa thread zote.
Manii sii najisi,mkojo najisi.unapozini ina maana huna ndoa ni uchafu mkubwa lakini ndani ya ndoa sii uchafu
we kwel bazaaz,:wacko:
Shika adabu zako kwa kuchangia hoja na sio kushadidia. haya sasa changia