JOSE KASANO
Senior Member
- Apr 23, 2013
- 122
- 95
Walimu wapya wa shule za sekondari katika manispaa ya Bukoba wamekusanyika hapa kwa mkuu wa mkoa wa Kagera katika harakati za kudai fedha zao za kujikimu na nauli baada ya manispaa ya Bukoba kushindwa kuwalipa fedha hizo hadi sasa.