J JOSE KASANO Senior Member Joined Apr 23, 2013 Posts 122 Reaction score 95 Apr 4, 2014 #1 Walimu wapya wa shule za sekondari katika manispaa ya Bukoba wamekusanyika hapa kwa mkuu wa mkoa wa Kagera katika harakati za kudai fedha zao za kujikimu na nauli baada ya manispaa ya Bukoba kushindwa kuwalipa fedha hizo hadi sasa.
Walimu wapya wa shule za sekondari katika manispaa ya Bukoba wamekusanyika hapa kwa mkuu wa mkoa wa Kagera katika harakati za kudai fedha zao za kujikimu na nauli baada ya manispaa ya Bukoba kushindwa kuwalipa fedha hizo hadi sasa.
Yuzhonai JF-Expert Member Joined Oct 6, 2011 Posts 303 Reaction score 67 Apr 4, 2014 #2 Wafungieni ofisini hao..wanataka mle mawe??