Manispaa ya Kigamboni mnaonaje mkaanzisha mnada wa Mbuzi/ Nyama Choma hata Kila Jumamosi

Manispaa ya Kigamboni mnaonaje mkaanzisha mnada wa Mbuzi/ Nyama Choma hata Kila Jumamosi

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
Wakati serikali ikiwa haina akili tena ya kupata vyanzo vya mapato na kuishia kwenye kuweka Tozo mpk za Ndoa, ni wakati mwafaka sasa Manispaa kupitia think tank wao wakabuni vyanzo ambavyo havimuumizi mwananchi.

Serikali ilipochukua vyanzo vyote vya Manispaa walibuni uwepo wa Stendi za magari Kwa Kila Manispaa. Sasa umefika Wakati Kigamboni wakaanzisha Angalau Mnada hata wa Kila Jmosi ya mwisho wa mwezi watu wakawa wanachoma nyama na kusuuza mioyo.

Mnada waeza kuwa Kibada, Mjimwema au hata Toangoma kama ule ulioanzishwa kule Madale kulangwa.

Natoa wazo
 
Idea nzuri, kule Iringa barabara ya kwenda dodoma upo kila junamosi watu ni wengi sana wanaenda na kushinda huko wanakula nyama
 
Idea mzuri!Ila Nyangasa na viongozi wa Kigamboni yote ni Mizigo.
 
Maeneo ya beach kule panajaa sana jmosi....wangeweka uko beach wangepiga hela kinoma
 
Nenda weekend pale vijibweni darajani, nyama ipo inachomwa
 
Back
Top Bottom