julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 3,081
- 4,224
Bagamoyo road kuanzia pale Bamaga mpaka Mwenge naona kumezuka wimbi la viroba vya taka vyenye kutoa harufu ya uozo na uvundo kwa wageni wa heshima wanaotumia njia hiyo kuelekea Bagamoyo na Bunju au Mbezi.
Huu mchezo mtendaji anapaswa achukue hatua kwa kuwaita vikundi vyake vya usafi washirikiane na afisa husika wa manjspaa aliyepangiwa kata hiyo kutoka kwa mkuu wa idara ya mazingira wafatilie nani anatupa taka sababu maeneo hayo wala hayana ubovu wa miundombinu kusema kwamba watu wanawapa mateja kazi ya kuwazolea taka majumban.
Inaharibu taswira, nimepita hapo nikiwa nakula baga nusura nitapike kwa ule uvundo.
Huu mchezo mtendaji anapaswa achukue hatua kwa kuwaita vikundi vyake vya usafi washirikiane na afisa husika wa manjspaa aliyepangiwa kata hiyo kutoka kwa mkuu wa idara ya mazingira wafatilie nani anatupa taka sababu maeneo hayo wala hayana ubovu wa miundombinu kusema kwamba watu wanawapa mateja kazi ya kuwazolea taka majumban.
Inaharibu taswira, nimepita hapo nikiwa nakula baga nusura nitapike kwa ule uvundo.