M mnyevushaji Member Joined Oct 4, 2011 Posts 24 Reaction score 1 Jul 29, 2012 #1 Wadau hii kweli ni haki?tangu waalimu waajiriwe february hadi leo hawajalipwa pesa za nauli,mizigo na wategemezi wao huku wakipigwa danadana wasijue nn cha kufanya| ama kweli inatia uchungu by mwanaharakati
Wadau hii kweli ni haki?tangu waalimu waajiriwe february hadi leo hawajalipwa pesa za nauli,mizigo na wategemezi wao huku wakipigwa danadana wasijue nn cha kufanya| ama kweli inatia uchungu by mwanaharakati