Manispaa ya temeke imeoza:waalimu waambiwa wawe wavumilivu tangu february hadi leo hawajalipwa pesa

mnyevushaji

Member
Joined
Oct 4, 2011
Posts
24
Reaction score
1
Wadau hii kweli ni haki?tangu waalimu waajiriwe february hadi leo hawajalipwa pesa za nauli,mizigo na wategemezi wao huku wakipigwa danadana wasijue nn cha kufanya|
ama kweli inatia uchungu by mwanaharakati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…