Pre GE2025 Manjale: Vyama vingine vilikuwa vinasema bodaboda ni kazi ya laana

Pre GE2025 Manjale: Vyama vingine vilikuwa vinasema bodaboda ni kazi ya laana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

upupu255

Senior Member
Joined
Sep 4, 2024
Posts
119
Reaction score
144
Katika ziara ya Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM Mkoa wa Geita, imeeleza kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inathamini kazi za Vijana wa Bodaboda kama chanzo cha kipato na maendeleo ya uchumi wa nchi.

Soma: UVCCM Geita: Hakuna atakayezuia Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025

Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Geita, Manjale Magambo amesema kuwa Serikali imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha Vijana wanapata fursa za kimaendeleo kupitia kazi hiyo.

 
Pu
Katika ziara ya Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM Mkoa wa Geita, imeeleza kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inathamini kazi za Vijana wa Bodaboda kama chanzo cha kipato na maendeleo ya uchumi wa nchi.

Soma: UVCCM Geita: Hakuna atakayezuia Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025

Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Geita, Manjale Magambo amesema kuwa Serikali imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha Vijana wanapata fursa za kimaendeleo kupitia kazi hiyo.

Pumbavu Sana , Kwa akili za kipumbavu kama za huyu fala na wenzake hii nchi itaendelea kudumaa
Yeye au ndugu yake anafanya huo ubodaboda ?
 
Chadema na Lema wanadhani wapo Ulaya...

Boda boda wana issues zao lakini wana affect maisha ya watu wengi sana positively..

Bila kucheza siasa na makundi ya kijamii wataona ugumu wa siasa kuliko miaka yao yote toka waanzishwe 1993
 
Kuna anira rasmi na ajira zisizo rasmi, kuna kujiajiri na kuna kuajiriwa... bodaboda kama ilivyo cherehani, gari, shamba, n.k inaweza kuwa ajira kutegemea na mazingira husika.

Wengi kwenye hiyo industry wananufaika si utani. Pengine kuzidi hata ajira rasmi nyingi tu... tabia zao binafsi kama ulevi, uzinzi, kutofanya Savings, kutoweka rekodi za mapato na matumizi zisitumike kuharamisha idara yote. Wapo waliojikwamua kiuchumi kupitia bodaboda na wapo tuliowazika... the same goes for other sectors.
 
Bodaboda ni kazi ya laana, period kwa lugha yoyote na bila kujali chama chochote hata mkiipaka rangi gani!
 
Katika ziara ya Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM Mkoa wa Geita, imeeleza kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inathamini kazi za Vijana wa Bodaboda kama chanzo cha kipato na maendeleo ya uchumi wa nchi.

Soma: UVCCM Geita: Hakuna atakayezuia Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025

Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Geita, Manjale Magambo amesema kuwa Serikali imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha Vijana wanapata fursa za kimaendeleo kupitia kazi hiyo.

AAche uenyekiti wa UVCCM akawe bodaboda tuone sasa
 
Chadema na Lema wanadhani wapo Ulaya...

Boda boda wana issues zao lakini wana affect maisha ya watu wengi sana positively..

Bila kucheza siasa na makundi ya kijamii wataona ugumu wa siasa kuliko miaka yao yote toka waanzishwe 1993
Mimi nina mtazamo tofauti kuhusu bodaboda ,kweli sio ajira kiivyo kwa mtazamo wa ki inchi kwa kuwa vijana wenye nguvu wanakuwa kwenye secta hiyo kwa ajili ya kujipatia kipato.Mimi mtazamo wangu ,ni ku upgrade boda boda kwenye masuala ya postage/delivery ya vitu wakaungana vijana na kuanzisha kampuni ya kusafirisha vitu na sio watu ili kuleta pia ushindani kwa shirika la posta,kuanzisha viwanda vya uzalishaji au utengenezaji wa pikipiki hapa tanzania kuwapa ajira watanzania wengi zaidi badala ya kuzinunua kutoka china.Kuanzaisha vituo vya kuegesha pikipiki na mtu anakodisha kwa siku na kurudisha (zinawekewa GPS) ni mawazo yangu tu
 
Katika ziara ya Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM Mkoa wa Geita, imeeleza kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inathamini kazi za Vijana wa Bodaboda kama chanzo cha kipato na maendeleo ya uchumi wa nchi.

Soma: UVCCM Geita: Hakuna atakayezuia Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025

Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Geita, Manjale Magambo amesema kuwa Serikali imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha Vijana wanapata fursa za kimaendeleo kupitia kazi hiyo.

Bodaboda jeneza linalotembea

Ukiwa boda kifo kiko mkononi

Ova
 
Back
Top Bottom