Manji aanza kuihujumu Yanga

Uwezo wao ndio ulipoishia ilikuwa sawa kupoteza huo Mchezo,walizidiwa mbinu kimchezo wakapigwa bao.
 

Ya siasa yamekushinda naona umeamua kuhamia huku na kuanza ugomvi na Manji
 
Hivi mnajua kwamba amekuja na mpya ya kuidai Yanga sh. bilioni tano?
 
Halafu mbaya zaidi, anaiachaje Yanga wakati mikataba ya kuwalipa wachezaji wengi ameingia yeye? Nani atamlipa Ngoma, Kamusoko, Niyonzima na funga kazi Obrey Chirwa?
 
Halafu mbaya zaidi, anaiachaje Yanga wakati mikataba ya kuwalipa wachezaji wengi ameingia yeye? Nani atamlipa Ngoma, Kamusoko, Niyonzima na funga kazi Obrey Chirwa?
Hili liwe somo kwa masikini wote nchi hii .
 
Benchi la ufundi limekasirika mtashindaje? Na mzee kawaomba radhi ila mmegoma kutoa tamko la msamaha.
Mtachezea kichapo mwaka huu mpaka mshuke ndondo Cup.
 
Labda niwakumbushe kipigo cha tanobilaa kilianzia kwa akilimali nchunga kamasijakosea anamjua vyema NA ataki kabsa kusikia nenoyanga..huyuu mzee alitoaa kofiaa mkutanowausuluhishi nendenn..loh...wanachama walitaka kumaliza familia familiayake..leohii huyumzee katangaza

1))ANAETAKA KUTENGANA NA FAMILIA YAKE KWA MDA USIOJULIKANA AJARIBU KUVAMIA KWAKE..
 


Kumbe na wewe ni Kandambili FC?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…